Sipingi mkuu .
Huoni mkoa unapiga hatua kubwa kutoka tatu best Hadi sasa haupo ten best?
Kuna vitu unabidi ufahamu
Kagera ni mkoa wa tatu Kwa idadi ya watu nchini baada ya dar na mwanza.zaidi ya milion3
Kagera ni mkoa wa tatu wenye population density kubwa tz baada ya dar na mwanza
Hakuna mkoa uliopitia majanga mengi kama Kagera tz tangia Uhuru ndo maana mkoa uliporomoka vibaya ovyo kiuchumi na kimaendeleo . recovery ya vita,MV Bukoba,hiv,minyauko mpaka matetemeko.
NB mnabidi mjionee aibu nyie watu wa moshi hamjawahi patwa janga lolote lile la kuwasumbua lakini bado mkoa wenu haujapiga maendeleo kivile na kuna maeneo mengi Tu kama ya misenyi ( wilaya iliyopigiwa vita ya Kagera) inawazidi mbali Kwa maendeleo ya vijiji.
Na kamji kenu hakajawahi pata hata kutetemeshwa kidogo lakini kanazidiwa na iringa shame on you
View attachment 1142529View attachment 1142530