kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 590
- 1,466
Naomba kukaribishwa rasmi ktk jukwaa hili.
Mimi ndio mara yangu ya kwanza kununua gari na katika ukoo wetu tuseme mimi ndio wa kwanza kumiliki hiki kitu.
Kiukweli nimeteseka sana mauzauza si mauzauza, sijui ni kuweweseka, yaani kila nikilala naota mara gari limeibiwa, mara naota wezi wanaiba power window na taa zote, kila nikipiga kelele kumuita mjumbe sauti haitoki.
Kila mara usiku nikiamka natoka sebleni naichungulia kama ipo.🤣
hata nikipark sehemu kwa mchana nikilock nitakagua milango yoye kama imefunga na hata nikiondoka nitageuka nyuma mara kwa mara kuiangalia.
Hali hii ilishawah kukukuta? share nasi experience yako ilikuwaje na iliondoka kwa mda gani.
Mimi ndio mara yangu ya kwanza kununua gari na katika ukoo wetu tuseme mimi ndio wa kwanza kumiliki hiki kitu.
Kiukweli nimeteseka sana mauzauza si mauzauza, sijui ni kuweweseka, yaani kila nikilala naota mara gari limeibiwa, mara naota wezi wanaiba power window na taa zote, kila nikipiga kelele kumuita mjumbe sauti haitoki.
Kila mara usiku nikiamka natoka sebleni naichungulia kama ipo.🤣
hata nikipark sehemu kwa mchana nikilock nitakagua milango yoye kama imefunga na hata nikiondoka nitageuka nyuma mara kwa mara kuiangalia.
Hali hii ilishawah kukukuta? share nasi experience yako ilikuwaje na iliondoka kwa mda gani.