Humfrey is more principled, way more principled than Nape. Usiwalinganishe hata kidogo.They are all alike n same
Watu hawahui slow slow hakutegemea kupokonywa cheo na v8 ghafla. Kila siku wanaambiwa vyeo dhamana lakini hawa jamaa hawaelewi, Angalia sasa kila jua linavyochomoka wazimu unazidi kupaa..🤔🤔🤔Angalia usije ukalowesha godoro.. Na mvua hizi sijui litakauka lini... Naona bado uko ndotoni
Niloweshwe kwa kosa gani ?Angalia usije ukalowesha godoro.. Na mvua hizi sijui litakauka lini... Naona bado uko ndotoni
Kaka kulikoni tena usiku huu twataka kulala siye. Mbona wataka tukeshe hapa tukichimbua zaidi hii kitu!?Nappe dawa lako lipo jikoni linachemka taratibu muulize Membe kilichompata kuhusu pesa alizokuwa nazo nje amepewa siku 180 awe ameleta ushahidi wa kuonesha ni Kweli ni mali yake halali siyo aliyoiba kwa miaka (10) akiwa waziri kwenye utawala wa kaka yake kafiri lililomuua Magufulina wewe nakuhurumia sana maana mambo yako ninayo bado asilimia 30% yakae mikononi mwangu
-Membe Account PIN South Africa
-Ridhiwani Account PIN Italian
Next......
Ridhiwani Kiwete pale Italian mambo ni moto pesa kwenye Account PIN
Halafu umwambie huyu kunguni wenu wa Zanzibar sijui Samiah kwamba yule Balozi aliyetuma kunifungulia kesi dhidi sijui ya Jamuhuri hajui kiingereza amtume mwingine anachapia kinoma hadi mahakama inachekamwambie Mimi haniwezi namuona mbwa kama mbwa wengine
DAWA LAKO LINACHEMKA SOON UTANYWESHWAView attachment 2044280
Mkuu nafahamu una info zote za kinachoendelea na unaelewa fika kwa 100% kwamba Hum-frei ni chambo.Nappe dawa lako lipo jikoni linachemka taratibu muulize Membe kilichompata kuhusu pesa alizokuwa nazo nje amepewa siku 180 awe ameleta ushahidi wa kuonesha ni Kweli ni mali yake halali siyo aliyoiba kwa miaka (10) akiwa waziri kwenye utawala wa kaka yake kafiri lililomuua Magufulina wewe nakuhurumia sana maana mambo yako ninayo bado asilimia 30% yakae mikononi mwangu
-Membe Account PIN South Africa
-Ridhiwani Account PIN Italian
Next......
Ridhiwani Kiwete pale Italian mambo ni moto pesa kwenye Account PIN
Halafu umwambie huyu kunguni wenu wa Zanzibar sijui Samiah kwamba yule Balozi aliyetuma kunifungulia kesi dhidi sijui ya Jamuhuri hajui kiingereza amtume mwingine anachapia kinoma hadi mahakama inachekamwambie Mimi haniwezi namuona mbwa kama mbwa wengine
DAWA LAKO LINACHEMKA SOON UTANYWESHWAView attachment 2044280
Kuna mwamba mmoja ajiandaa kumwaga ugali na mboga kabisa.Mkuu
Nadhani unafeli kudhani ni Polepole pekee yake
Kuna Magufulists kibao wapo serikalini maana mama kaingia hakubadili kitu
Thats the mistake mama did,na itam-cost big time!
Polepole ni chambo tu....
Magufulism is the problem ndio wanamtuma huyu chambo!
Unachoongea unaangalia usoni,hapo ndio unapofeli kama mama alivyofeli....
Kuanzia Majaliwa na the rest of baraza la mawaziri lote ni Magufulists,wabunge kibao ni wake,wafanyakazi wa serikali kibao ni wake
You are wrong big time..CCM ndio ishapasuka kitambo
Ukiona unaota sana ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chiziUsingizi wa pono na ndoto nyevu
Mkuu umeandika maneno ya vizuri sana, ila tambua tu kila jambo chini ya jua linawezekana. Kaa utulie utazame movie ndio uje na conclusion. Jambo la msingi tu ni kwamba huwezi jua yeye anasilaha gani kwahiyo kaa kwa kutulia mkuu. Tuiache vita zidi ya wahuni iishe salama.Ngoma unayocheza ni ya kitoto mno.. Haina ubavu wa kukesha.... Huna uwezo wa kucheza mnanda au mchiriku siku hizi wanaita singeli.. Hizo ndio ngoma za kihuni sasa.. Kama huna pumzi unaumbuka...!
Salamu kidogo ulizotumiwa ni onyo la kishkaji sana, hizi sio nyakati za jiwe hizi ni nyakati za watoto wa mjini hawakutoi damu wala manundu wanakunjia tu yai kwenye mpasuko kisha wanakupiga picha...
Hakuna anatakayekudhuru hata ukucha ila utabadilishiwa tu santuri za mjini tena kwa mitindo tofauti tofauti.. Wewe ni chawa tena yule kiroboto.. Wanakujua vema.. Ndio maana wameamua kukucheza shere japo kiduchu.. Hizo ni salam tuu ..kama unagutuka gutuka sasa!.. Ukiendeleza ushamba wako hakuna rangi utaacha kuona.. Utasagiwa mpaka kunguni
Hili dubwana linaloitwa SIRIKALI lione hivi hivi...! Unamsikia tena Gwajiboi? Hajaguswa hata ukucha Lakini umeona alivyopoa kuliko marehemu mochwari? Vp na mzee wa PhD famba ya kupigwa? Cheza michezo yako yote lakini ukifika kwenye kibao kilichoandikwa SIRIKALI.. Brother nakushauri ufyate kama mbwakoko ugenini..!
Brother sikio litabaki kuwa sikio.. Kamwe halitakaa lizidi kichwa... Kuna viungo bandia vya kila aina lakini sio sikio lililozidi kichwa! Labda liwe la mdoli...! Ukinyonga na ukigeugeu wako vinasadifu ufinyu wa fikra ulionao.. Dr. Bashiru aliyeamua kukaa kimya sio mjinga..AMEJITAMBUA...!!!
Ulipewa salio la msg ukataka na kifurushi cha internet..! Ulikaribishwa upenuni, ukajiingiza sebuleni sasa unataka kuingia chumbani..Thubutuu..Hizi adabu umefunzwa wapi? Na nani?
Kama walozi wenyewe tunaigwaya serikali wewe ni nani mpaka ujitie kifutu? Brother angalia na makinika usije ukawa na tabia za kenge! Maana kenge hasikii mpaka damu zimtoke masikioni...!
Usije ukajaribu kuinua kichwa tena.. Rungu zito zaidi litatua juu yake kwa style zilezile za watoto wa mjini...![]()