Half rey unajua wewe ni mwepesi kuliko kapi

Half rey unajua wewe ni mwepesi kuliko kapi

Hakuna popote niliposema hayo yote Ahsante!
But your thread impliedly says it all. So hukwepi huu ukweli. Tukubaliane mambo mawili;
1. Ama tukae kimya tukubali kupelekwa machinjioni kama kondoo.
2. La tuendelee kupiga kelele dhidi ya uovu hata kama watesi wetu nao wameingia kuwa wateswa.

Itakuwa ni ajabu sana kama tutashangilia kuona watesi wetu wameanza kuwashughulikia watesi wetu. Kwa sababu haimaanishi kuwa wakishawamaliza waliokuwa watesi wetu sisi tutakuwa salama.
Nina uhakika wakiwamaliza waliokuwa watesi wetu wa awali watarudi kuendelea kutushughulikia tu
 
But your thread impliedly says it all. So hukwepi huu ukweli. Tukubaliane mambo mawili;
1. Ama tukae kimya tukubali kupelekwa machinjioni kama kondoo.
2. La tuendelee kupiga kelele dhidi ya uovu hata kama watesi wetu nao wameingia kuwa wateswa.

Itakuwa ni ajabu sana kama tutashangilia kuona watesi wetu wameanza kuwashughulikia watesi wetu. Kwa sababu haimaanishi kuwa wakishawamaliza waliokuwa watesi wetu sisi tutakuwa salama.
Nina uhakika wakiwamaliza waliokuwa watesi wetu wa awali watarudi kuendelea kutushughulikia tu
Kila jambo lina wakati wake.. Na ukifika wakati husika kuna mawili kulia ama kucheka inategemea uko upande gani! Pole pole ni sehemu ya uovu mwingi uliofanyika kipindi chao.. Alichofanyiwa ni cha kishkaji mno kulinganisha na wale waliofanyiwa kipindi chao.. Anyway sifurahii uovu ila kuna njia ya kuonjeshana tamu na chungu
 
Kila jambo lina wakati wake.. Na ukifika wakati husika kuna mawili kulia ama kucheka inategemea uko upande gani! Pole pole ni sehemu ya uovu mwingi uliofanyika kipindi chao.. Alichofanyiwa ni cha kishkaji mno kulinganisha na wale waliofanyiwa kipindi chao.. Anyway sifurahii uovu ila kuna njia ya kuonjeshana tamu na chungu
wacha waisome namba ccm mbele kwa mbele sasa ndo naelewa maana ya huu wimbo
 
TV imepatikana
IMG-20211214-WA0118.jpg
 
Ina maana alichofanyiwa membe na nape kipindi Cha jiwe kulikuwa sahihi? Tu kwa sababu walikuwa wakiipinga serikali?
Au anachopitia mbowe sasa hivi ni sahihi kwa kuwa nae alianza kuipinga serikali hii??
Serikali haitakiwi kupingwa na yoyote?
 
Fair gani kwani hii nchi ya wachache tu ? Umeonesha utoto kabisa.
Inaelekea hata mbowe kupewa kesi ya ugaidi ni kafanyiwa fair?
Tunahalalisha serikali kushughulikia wale wanaowapinga na kuwakosoa
Nimeshangaa sana huu Uzi
 
mshana ...........
unataka kusema peoole should be crying mutedly? Kwamba serikali haitaki Katiba Mpya basi watu wasiidai? Kwamba serikali imeamua kubambikia watu kesi basi watu wakae kimya wasipige kelele?
Na huyu mwamba ni chadema, Ila anaamini serikali haipaswi kukosolewa Wala kupingwa. Ukiipinga na kuikosoa basi Ni halali yako kushughulikiwa
hata mbowe kupewa hii kesi ya ugaidi pia ni halali yake
Aisee, kazi ipo
 
Aliyesema What goes around must come back around.....aliona mbali.... kaa kimya...na tena unakuta mtoto mdogo mdogo kwenye mitandao anakuwambia kaa kimyaa....bora ukae kimya ni hatari.
 
Wachawi ndio kawaida yenu, kazi kutetea serikali za wapigaji. Huna maana kabisa.
 
Ina maana alichofanyiwa membe na nape kipindi Cha jiwe kulikuwa sahihi? Tu kwa sababu walikuwa wakiipinga serikali?
Au anachopitia mbowe sasa hivi ni sahihi kwa kuwa nae alianza kuipinga serikali hii??
Serikali haitakiwi kupingwa na yoyote?
Sidhani kama tumeelewana hapa
 
Na huyu mwamba ni chadema, Ila anaamini serikali haipaswi kukosolewa Wala kupingwa. Ukiipinga na kuikosoa basi Ni halali yako kushughulikiwa
hata mbowe kupewa hii kesi ya ugaidi pia ni halali yake
Aisee, kazi ipo
Nadhani hatukuelewana kabisa
 
Kila jambo lina wakati wake.. Na ukifika wakati husika kuna mawili kulia ama kucheka inategemea uko upande gani! Pole pole ni sehemu ya uovu mwingi uliofanyika kipindi chao.. Alichofanyiwa ni cha kishkaji mno kulinganisha na wale waliofanyiwa kipindi chao.. Anyway sifurahii uovu ila kuna njia ya kuonjeshana tamu na chungu
This is too low for you Mshana Jr
You could have a better argument than this
 
Na huyu mwamba ni chadema, Ila anaamini serikali haipaswi kukosolewa Wala kupingwa. Ukiipinga na kuikosoa basi Ni halali yako kushughulikiwa
hata mbowe kupewa hii kesi ya ugaidi pia ni halali yake
Aisee, kazi ipo
Memento nahitaji kukuelewesha ili usipotoshe maana kusudiwa kwenye hii mada.. Wala usijaribu kumlinganisha mwenyekiti Mbowe na Polepole! Mateso anayopitia Mbowe na wapinzani wengine pamoja na familia zao, ndugu jamaa marafiki na wapenda amani wote ni zao la udhalimu wa matendo ya akina polepole enzi za Magu
Njnachosema sasa ni Polepole naye apate ladha ya kile alichowafanyia wengine..ni kaburi alilolichimba mwenyewe akiingia asipige kelele
 
Back
Top Bottom