Hakwambii ukweli sababu anakupenda

Hakwambii ukweli sababu anakupenda

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
17,572
Reaction score
27,320
Sababu anakupenda atahakikisha hakuumizi; ukweli ni mchungu..., Kama anachofanya kinasaliti pendo lenu sio lazima anafanya hivyo sababu hakupendi bali hio ndio tabia yake... (Kwahio kama aliteleza atahakikisha Siri hii anaingia nayo Kaburini).

Hivyo basi usiseme hakupendi bali ongelea tabia yake ambayo ni mbaya kwako..., Je unadhani ni bora yule anayelikoroga alafu linamuumiza (guilty conscious) eti anajuta anaamua kukuletea wewe ili likuumize.... Je huyu ndio anayekupenda kuliko yule anayeamua kukukinga na maumivu hivyo kuumia mwenyewe?

Usiseme kwamba kwanini hakufanya alichofanya (hizo ni tamaa na tamaa sio necessarily absence ya penzi)

Though lie of Omission is Still a Lie. Most of the time its Necessary.
 
Kukataa mahusiano ni ngumu jama
Upweke unaua

KATAA UPWEKE
Sio lazima usipokuwa kwenye mahusiano uwe mpweke; unaweza ukawa mpweke kwenye lindi la watu.., Watu ni tofauti wengine wakiwa na watu wanaona ni mizenguo.., kwahio inabidi mtu ujifahamu Binafsi kama huwezi kukaa bila watu / mtu basi fanya hivyo kwa afya ya maisha yako na sio kwa kufurahisha matakwa ya watu...

To each their own....
 
Kukataa mahusiano ni ngumu jama
Upweke unaua

KATAA UPWEKE
Kuwa mpweke ni kujitakia na hasa uwe broke ndo utaelewa somo ila ukiwa na angalau ya kubadilisha soda bando halikati sasa kingne nini mahusiano kama we wakiume jitahd uwe na marafiki wengi wa kike kama unaweza au kama mazingra yanaruhusu utanishukuru sio lazima uwe kwenye mahusiano narudia tena SIO LAZIMA UWE KWENYE MAHUSIANO hawo marafiki watakusaidia/mtasaidiana mambo mengi
 
Binafsi niliwah pitia mahusiano ambayo una mtext demu sms ila anakujibu baada ya 5 hrs au zaid so mm niliamua tu kuendelea na ratib zangu za vituo vinavyo fuata so alipokuja kugeuka nyuma alinikuta tayari nishabeba abiria mwingine yaan kimya kimya tu
 
Kukataa mahusiano ni ngumu jama
Upweke unaua

KATAA UPWEKE
Kuwa mpweke ni kujitakia na hasa uwe broke ndo utaelewa somo ila ukiwa na angalau ya kubadilisha soda bando halikati sasa kingne nini mahusiano kama we wakiume jitahd uwe na marafiki wengi wa kike kama unaweza au kama mazingra yanaruhusu utanishukuru sio lazima uwe kwenye mahusiano narudia tena SIO LAZIMA UWE KWENYE MAHUSIANO hawo marafiki watakusaidia/mtasaidiana mambo mengi
 
Binafsi niliwah pitia mahusiano ambayo una mtext demu sms ila anakujibu baada ya 5 hrs au zaid so mm niliamua tu kuendelea na ratib zangu za vituo vinavyo fuata so alipokuja kugeuka nyuma alinikuta tayari nishabeba abiria mwingine yaan kimya kimya tu
Hivi karne hii ukijibu kila SMS kweli kunakitakachofanyika au utafanya kazi ya kuandikiana SMS.., Kumbuka sasa hivi ni information at your fingertips (dunia nzima unayo kiganjani).

Kwahio hio ni tabia ya mtu wengine sio watu wa SMS sasa abadilike ili tu akuridhishe wewe..., nadhani cha maana ni kutafuta mtu anayependa hayo mambo...
 
Kuwa mpweke ni kujitakia na hasa uwe broke ndo utaelewa somo ila ukiwa na angalau ya kubadilisha soda bando halikati sasa kingne nini mahusiano kama we wakiume jitahd uwe na marafiki wengi wa kike kama unaweza au kama mazingra yanaruhusu utanishukuru sio lazima uwe kwenye mahusiano narudia tena SIO LAZIMA UWE KWENYE MAHUSIANO hawo marafiki watakusaidia/mtasaidiana mambo mengi
Oyaaa umeandika kwa hisia sanaa
 
Nyege hazijawahi kuwa na sifa ya kunisababishia mateso...kuwa mpweke ni wewe tu kuamua
Tunatofautiana mi nkiwaga na upwiru mda mrefu nakua na hasira nakua na chuki flan Kwa wanawake utendaji wangu kwenye mambo ya kawaida unakua mdogo nikipiga tu show nakua mwepesiiiiii nakua na raha flan hv hata nakua na upendo kwa watu wote nakua vizuri kisaikolojia
 
Tunatofautiana mi nkiwaga na upwiru mda mrefu nakua na hasira nakua na chuki flan Kwa wanawake utendaji wangu kwenye mambo ya kawaida unakua mdogo nikipiga tu show nakua mwepesiiiiii nakua na raha flan hv hata nakua na upendo kwa watu wote nakua vizuri kisaikolojia
Ahahahah..kwahiyo mwanagu hata kujichukulia sheria mkononi huwezi?
 
Nlijaribu kipind hiko advance uboyzn aisee ile kitu ngumu sana 🤣kitu unapiga ukitoka hapo umechoka hufai, kula mbususu ina advantage yake nyeto kuumizana tu imagine unasimamia ukucha mpaka bafu inakua fupi
😂😂😂😂😂😂😂
Dah..
Nyeto ina technic zake..sekunde tu chap
 
Nlijaribu kipind hiko advance uboyzn aisee ile kitu ngumu sana 🤣kitu unapiga ukitoka hapo umechoka hufai, kula mbususu ina advantage yake nyeto kuumizana tu imagine unasimamia ukucha mpaka bafu inakua fupi
🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂😂😂
Dah..
Nyeto ina technic zake..sekunde tu chap
Hyo tuwaachie kina ifunda bn, nyeto ntaisapoti tu humu kama changamsha kijiwe lkn huku offline mbususu inatake over!

Ukiwa na mdada mtapiga story, mtakula, mtakunywa, mtaoga mtasex (hapa kumbuka Kuna kufinyiwa kwa ndani) zile moment zina raha yake...sasa ulimwengu wa nyeto upo ww, maji na sabuni ujikamuee weee mda linakuja kwenye joint kama panavunjika hv mwili unakosa balance dah nyeto kumbafu sana
 
Back
Top Bottom