Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 13,860
- 29,494
- Thread starter
- #21
Kwa Nini 😂😁Ushaniudhii😂
Kwa Nini 😂😁Ushaniudhii😂
Daah !🤣😂😭😭😭Wamepiga kwenye ugoko nini
Unawatetea wajeda, mimi nina historia mbaya naoKwa Nini 😂😁
Poleee sana 😂😁 hadi Mimi piaUnawatetea wajeda, mimi nina historia mbaya nao
Kuna jamaa alikua tajiri na ana pesa kishenzi akawa rafiki wa polisi kituo kizima siku aliyofilisika akafanya kosa flan akakamatwa kwakua kashakua njaa kali wakampa ufagio afagie kituo kizima na kufyekaDaah !🤣😂😭😭😭
Inasikitisha sana 😭😭🤣😁Kuna jamaa alikua na pesa akawa rafiki wa polisi kituo kizima siku aliyofilisika akafanya kosa flan akakamatwa kwakua kashakua njaa kali wakampa ufagio afagie kituo kizima na kufyeka
walikubinya wapi..??Bila kuwasahau wanajeshi!
Nature ya kazi ya polisi imewekewa misingi isiyo na urafiki kuna baadhi ya makosa ukifanya hata huyo rafiki yako polisi anakua hana uwezo wa kukusaidia hata akitaka kukusaidia wala hataweza, ndo pale unaona anakukwepa , kwahiyo usijenge urafiki na polisi ukiamini atakusaidia hilo halipoInasikitisha sana 😭😭🤣😁
Naunga mkono hoja kakaNature ya kazi ya polisi imewekewa misingi isiyo na urafiki kuna baadhi ya makosa ukifanya hata huyo rafiki yako polisi anakua hana uwezo wa kukusaidia hata akitaka kukusaidia wala hataweza
akianza kujitegemea tu, kumtenga hakutakua muhumu sanaMtoto wangu yoyote yule akija kuwa askari polisi amejifukuzisha mwenyewe kwenye familia.
You will be suprised. Urafiki wa polisi na raia uko sehem mbili, wawe na mahusiano au informerMtoto wangu yoyote yule akija kuwa askari polisi amejifukuzisha mwenyewe kwenye familia.
Asante kwa ufafanuzi mzuri uliyoenda shule.Acha makasiriko jamaa angu,
1. Kuna walimu wanaenda shule na hawaingii darasani
2. Kuna madaktari wanaandikia dawa ungonjwa haupo ili wauze dawa.
3. Kuna wafamasia wanawabambikia watu dawa zilizoisha muda.
4. Kuna viongizi wanatumia wadhfa wao kuumiza wengine au kwa maslahi binafsi.
Hawa wote ni waovu ila namna wanafanya uovu ni tofauti.
Avoid generalization
Tatizo lao usnitch ndio mwingi sana, kupenda ubwete na dezo na Dhuluma nyingi sanaMtoto wangu yoyote yule akija kuwa askari polisi amejifukuzisha mwenyewe kwenye familia.
Polisi ni majambazi yaliyopewa sare na silaha kisha kuhalalishwa na sheria.Braza niko pamoja na wewe wale jamaa siyo watu kabisaaa , wana njaa na wana poor reasoning aisee sijawahi ona, wako very biased, wengi ni washamba sana with zero exposure........wako radhi kufanya lolote mbele ya hela
Viongozi wakubwa wa ccm wanaongoza kwa kutumia ofisi vibaya kuliko hata Askari unaowaonea.Askari akiwa kazini anatimiza majukumu yake hivyo tusiwaingilie.Ila viongozi wa ccm wanastahili kuwajibishwa.NI kweli. Lakini hakuna watumishi wanaotumia ofisi/madaraka yao vibaya kama Polisi. Uonevu dhidi ya masikini kwa lengo la kujipatia kipato ndio kazi ya kila siku ya asilimia 90 ya maafisa wa Polisi. Kusingizia watu kesi, kuchukua rushwa bila kujali maumivu ya wengine kwenye jambo husika, wengine mpaka wanaua na kusingizia eti wameua jambazi. Ukipeleka kesi yako genuine na huna pesa au hakuna uwezekano wa kutengeneza pesa kwenye hiyo kesi hakuna askari atajishughulisha nayo. Polisi ni laana kuliko laana yenyewe.
Ni wapumbavu sana.yamekukuta yapi mwana,
Unampa mchongo Askari Askari anampa mwenzake wanakuja kukupiga hela.😂😂😂
Hakika.Umenena Kweli yote,
Kama ambavyo HAUPO, HAUJAWAHI KUWAPO NA HAUTAKUWEPO URAFIKI KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE,
Likewise, haupo urafiki kati ya Polisi na Raia.
Mahusiano mazuri ya kufanya KAZI yapo, hakuna uadui, ila pia hakuna urafiki. Ukiona Pana urafiki, jua mmoja anakwenda kutumia, au wote Kwa pamoja wataharibikiwa soon🤔
Ubarikiwe.
Naunga mkono hojaTatizo lao usnitch ndio mwingi sana, kupenda ubwete na dezo na Dhuluma nyingi sana
Huu uzi hauna tofauti na zile nyuzi za kuponda single mothers....Kuna Polisi wana ubinadamu sana. BIG UP kwa Polisi Wema wote.