No! Hapana! Umasikini wa Afrika haukutokana na ukosefu au kutokuwepo kwa demokrasia BALI umetokana na WIZI, UPORAJI NA UNYONYAJI ULIOKITHIRI wa mali na rasilimali za Afrika by hao Wazungu na Wasia kwa kutumia nia nyingi nyingi ikiwa ni pamoja na mikataba ya kinyonyaji dhidi ya akina Chief Kimweri na wenzao ZAMA ZA KALE.Sehemu kubwa ya Africa imetawaliwa bila demokrasia kuwa muda mrefu lakini Africa ndio bara maskini zaidi duniani.
Kwa hesabu nzuri kama hizo mkuu pengine tungekuwa tumeshamaliza matatizo kama hayo ya maji kwa siku nyingi tu, sema ndio hivyo hakuna mipango kama hiyo.Kuhusu case ya kariakoo ni suala la vipaumbele tu ukiimarisha soko la kariakoo kwa hizi billion 34 inawezekana sana zikakupa miradi mingi sana ya maji pindi maboresho yake yakikamilika!!
Jibu rahisi ni kusema tu kwamba maendeleo hayaletwi na udikteta wala demokrasia, kwa sababu hapo kama Libya ingekuwa inaongozwa kidemokrasia basi maendeleo yake yangehusishwa na hiyo demokrasia.Kwa taarifa yako hiyo Libya ingeweza kuwa na maendeleo bila hata udictaror. Na hata sasa imevurugika kwakuwa yeye Gadaffi alilazimisha kukaa madarakani kwa shuruti wakati tayari watu walikuwa wamemchoka. Na hata hivyo hiyo Libya pamoja na kwamba haiko stable, bado ina uchumi mzuri kuliko sisi wenye amani ya hofu.
Ni kwa sababu madikteta wetu hawana maonoKwa sehemu kubwa Afrika ndio hakuna demokrasia, mbona sisi hatuna maendeleo?
Kujaribu kukopy ustaarabu wa ulaya na marekani na kuupest africa ni kujidanganyaWaliokimbia Ulaya kwenda Marekani na kusaidiana kuutoa utawala wa Waingereza Marekani walitaka demokrasia. Wameweza kuweka kuepuka taratibu za uonevu walizoziacha Ulaya za Wafalme mafashist na walipata maendeleo.
Lakini umecopy ustaarabu wao wa kutumia gadgets na sasa hivi unapandisha threads JF.Kujaribu kukopy ustaarabu wa na kuupest africa ni kujidanganya
Kukopy teknoloji ni sawa lakini kukopy mifumo ya kujiongoza no, ustaarabu africa bado sana!! Ndio maana hapa kwetu ni rahisi tu watu wakanunuliwa gongo na t-shirt wakati wa uchaguzi na mtu akapigiwa kura na watu wa namna hiyo halafu akashinda alafu washindi wanatoka na kulazimishwa kwamba demokrasia imekomaa tanzania!!Lakini umecopy ustaarabu wao wa kutumia gadgets na sasa hivi unapandisha threads JF.
Madicteta wanao pandikizwa ndio wanao shindwa kuleta maendeleo kutokana na miongozo wanayopewa na wanaowapa nguvu.Udikteta unazaa maendeleo kwa kipindi gani ili tuupe muda?.
ni miongo sasa Africa ni chimbo la madikteta ila bado mnahamasishana kuchimba vyoo vya shimo hadi kesho kutwa.
Watu kama wewe ndiyo mnarudisha nyuma demokrasia . Ni wakati wa kutumia teknolojia kuwapa wananchi elimu ya uraia na kutambua haki zao na umuhimu wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.Kukopy teknoloji ni sawa lakini kukopy mifumo ya kujiongoza no, ustaarabu africa bado sana!! Ndio maana hapa kwetu ni rahisi tu watu wakanunuliwa gongo na t-shirt wakati wa uchaguzi na mtu akapigiwa kura na watu wa namna hiyo halafu akashinda alafu washindi wanatoka na kulazimishwa kwamba demokrasia imekomaa tanzania!!
We jamaaa unachekesha sana hivi utatoa elimu gani ya uraia kwa mtu ambaye amepewa pombe ili ampigie mgombea fulani na pombe kanywa alafu uchaguzi unaofuata anafuatwa na kuambiwa kutakuwa na pombe tena!!Watu kama wewe ndiyo mnarudisha nyuma demokrasia . Ni wakati wa kutumia teknolojia kuwapa wananchi elimu ya uraia na kutambua haki zao na umuhimu wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Mimi Nina mama namfahamu aliniacha hoi alipotembelewa na mjumbe wa ccm ili kuhakiki kadi yake ya chama yule mama akasema kwa namna huyu baba alivyonifuata hapa nyumbani na kunieleza vizuri sina sababu ya kumpigia kura mtu ambaye hata nyumbani kwangu hapajuiWe jamaaa unachekesha sana hivi utatoa elimu gani ya uraia kwa mtu ambaye amepewa pombe ili ampigie mgombea fulani na pombe kanywa alafu uchaguzi unaofuata anafuatwa na kuambiwa kutakuwa na pombe tena!!
Asante sana mke wangu kwa huu ufafanuzi.Watu kama wewe ndiyo mnarudisha nyuma demokrasia . Ni wakati wa kutumia teknolojia kuwapa wananchi elimu ya uraia na kutambua haki zao na umuhimu wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
🫂Asante sana mke wangu kwa huu ufafanuzi.
Ingekuwa hivyo, Bara la Africa ndiyo lingekuwa tajiri zaidi duniani na Bara la Ulaya ndiyo masikini wa kutupwaTabia ya demokrasia ni kuweka mlolongo wa mambo ambapo hata maamuzi mazuri na yenye tija bado yanahitaji maamuzi ya wengi ili yatekelezwe tofauti na mahali ambako hakuna demokrasia mnyororo wa maamuzi ni mfupi hivyo mambo yote yenye tija huamuliwa kirahisi na kutekelezwa.
Kwa maoni yangu maendeleo ni matokeo ya kuongozwa na kiongozi/ viongozi mwenye upeo wa kuona mbali na mwenye usimamizi madhubuti wa utekelezaji wa hayo maoni.
Tabia ya demokrasia ni kuweka mlolongo wa mambo ambapo hata maamuzi mazuri na yenye tija bado yanahitaji maamuzi ya wengi ili yatekelezwe tofauti na mahali ambako hakuna demokrasia mnyororo wa maamuzi ni mfupi hivyo mambo yote yenye tija huamuliwa kirahisi na kutekelezwa.
Kwa maoni yangu maendeleo ni matokeo ya kuongozwa na kiongozi/ viongozi mwenye upeo wa kuona mbali na mwenye usimamizi madhubuti wa utekelezaji wa hayo maoni.
Walimfadhili nani?Tatizo sio dictator shida ni ubinafsi mbona libya waliongozwa na dictator ila walikua na hali nzuri Hadi kufikia hatua ya kufadhili umoja wa africa!?
Mawazo hafifu haya.Haijalishi atapatikana kwa njia gani iwe kwa mapinduzi uteuzi au uchaguzi cha msingi awe na maono asiwe mbinafsi.