Depal mamboWaache na mambo yao maana hizo sadaka hajalazimishwa mtu yoyote kutuma
sasa hizo sadaka si ndio zinatumika kulipa gharama za kurusha vipindi na kuwalipa presenters mkuu,hakuna mahubiri ya Bure kwenye Radio we toa tu
Hata hapo naona umewapa "hadhi" fulani!
Kusema "wanaomba sadaka" hapo unajaribu kuficha ukweli!
Hao jamaa ni wezi, ni kama wezi wengine.
Wanatumia kulaghai na kuwapumbaza watu kuwa mungu atawazidishia mara dufu!
Hawana tofauti na wale jamaa wa "Ile hela itume kwenye namba hii"
Staki shobo na mfia dini!
Poa LucasDepal mambo
Upendo ni KKKT
KKKT ni chagga empireUpendo ni KKKT
TOa ndugu Toa!!Aisee hii redio kila kipindi wanaomba sadaka ,anatoka huyu mtangazaji akiingia mwingine ni kutaja namba za mpesa ,mahubiri yao ni sadaka tu kila saa kuchangia sadaka.
Wanaanzishaje redio kwa kutegemea sadaka tu .