Hakuna redio inaomba sadaka kama Upendo FM

Hakuna redio inaomba sadaka kama Upendo FM

Kuchangia Radio sio jambo baya isipo haiendeshwi kikanisa watangazaji ni wahuni tu
Vipindi vibovu hakuna mpangilio mzuri
Matangazo ya biashara ni mengi wakati mwingine unafikiri sio radio ya injili

Upendo Radio Rekebisheni mpangilio mzima Tunachangia kusikiliza Neno la Mungu au Injili kwa kupitia Mahubiri Ibada Nyimbo. Kipindi cha salamu hakina mshiko
Ongezeni vipindi vya maombi
Matangazo ya biashara yatangazwe kwa utaratibu mzuri sio kupayuka na kuongea harakaka kama mashine za kukoboa na kusaga

Watangazaji wawe wenye upako sio wahuni tu

Radio Maria wako vizuri wanazungumza kwa upole na upendo ninyi ni kelele tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna mzee wangu mmoja alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya DMP, aliwafokea kwenye kikao kwamba inakuwa kama siyo redio ya kanisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni redio ya kanisa letu mkuu. Yaani hata kanisani siku za ibada kuna mizunguko mingi ya sadaka mojawapo ni sadaka ya Upendo FM na Shule ya Sekondari Mbwawa. Yaani shule toka imeanzishwa kila Jumapili inatolewa sadaka na ni shule ya kulipia watoto wanaosoma pale siyo yatima. Yaani ibada zetu zina mizunguko miingi ya sadaka hadi mtu upate kizungu zungu. Hapo hapo kuna harambee ndani ya ibada. Yaani kazi kweli kweli
Aisee hii redio kila kipindi wanaomba sadaka, anatoka huyu mtangazaji akiingia mwingine ni kutaja namba za M-Pesa, mahubiri yao ni sadaka tu kila saa kuchangia sadaka.

Wanaanzishaje redio kwa kutegemea sadaka tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ubarikiwe umeongea kwa hekima ,hata wale wa maji wanauza tena kwa bei zaidi ya mara mbili
hata mitume walienda kufanya kazi ikiwapo uvuvi, ushonaji maturubai n.k

hamna mahali mtu anaenda mbinguni kwa kutoa sadaka.Na sadaka siyo kupeleka tu makanisani, bali hata kuwapa maskini au wenye shida jambo ambalo makanisa yenu ya vodafasta hayasemi

mnahimiza waumini wanunue stika wabandike milangoni na kwny vyombo vyao vya moto na maji ya ai mafute viwalinde, wakt wachungaji wanalindwa na walinzi..

Ukweli ni mmoja tu, sasa hivi mnatumia makanisa kama njia ya kujipatia vipato visivyo halali. Hamuoni aibu mchungaji tangu anavaa skuna nyeupe, hadi ananunua vogue lakn bado anakamua watu maskini pengine hata mlo mmoja kwao ni shida.
 
Mpaka unajiuliza mara mbili kwamba ni sadaka au michango
Hawaishindi Redio Maria,wameacha kuhubili neno la Mungu wamekuwa watoza ushuru muda wote,hadi wanakela sisi waumini wao.
 
Hakuna tusi hata moja kwenye andiko langu.Wewe husomi biblia maana inatuasa tuonyane na mm nimetumia nafasi hiyo.
Pole kama nimekukwaza.
Mkuu jibu kistaarabu naona shetani amekutawala hadi kwenye damu ndo maana una matusi mazito
 
Unakuta jumapili sadaka kama nne halafu na fungu la kumi pia
Hiyo ni redio ya kanisa letu mkuu. Yaani hata kanisani siku za ibada kuna mizunguko mingi ya sadaka mojawapo ni sadaka ya Upendo FM na Shule ya Sekondari Mbwawa. Yaani shule toka imeanzishwa kila Jumapili inatolewa sadaka na ni shule ya kulipia watoto wanaosoma pale siyo yatima. Yaani ibada zetu zina mizunguko miingi ya sadaka hadi mtu upate kizungu zungu. Hapo hapo kuna harambee ndani ya ibada. Yaani kazi kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukanyagwa maana yake nini?usijifiche kwenye mwamvuli wa biblia
Hakuna tusi hata moja kwenye andiko langu.Wewe husomi biblia maana inatuasa tuonyane na mm nimetumia nafasi hiyo.
Pole kama nimekukwaza.
 
Ni kweli, wanaojua faida yake wanatoa kwa moyo na kwa furaha na HUDUMA wanaifurahia. Hujalazimishwa kutoa!! na hujalazimishwa kufungua steshen ya upendo radio!! Kwa nini ulalamike!!
Kazi ya mpinga kristo ni kam hii mojawapo.siri moja ya kufanikiwa ni kutoa,R.i.p dokta Mengi sanitizer na barakoa tungevipata bure
 
Wew acha hizo unaijua radio maria ww au unaongea tu
Wanaomba hatari mpaka 100 wanaitka Alafu ni kila mwaka kwa ajili ya kulipia leseni ml 68

So kuomba omba hakuishi

Mm wanachonishangaza kama hawana pesa ya kulipia hiyo radio siwaifunge tu kuliko kusumbua wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom