Hakuna redio inaomba sadaka kama Upendo FM

Hakuna redio inaomba sadaka kama Upendo FM

hata mitume walienda kufanya kazi ikiwapo uvuvi, ushonaji maturubai n.k

hamna mahali mtu anaenda mbinguni kwa kutoa sadaka.Na sadaka siyo kupeleka tu makanisani, bali hata kuwapa maskini au wenye shida jambo ambalo makanisa yenu ya vodafasta hayasemi

mnahimiza waumini wanunue stika wabandike milangoni na kwny vyombo vyao vya moto na maji ya ai mafute viwalinde, wakt wachungaji wanalindwa na walinzi..

Ukweli ni mmoja tu, sasa hivi mnatumia makanisa kama njia ya kujipatia vipato visivyo halali. Hamuoni aibu mchungaji tangu anavaa skuna nyeupe, hadi ananunua vogue lakn bado anakamua watu maskini pengine hata mlo mmoja kwao ni shida.
Je uliwahi kuwasikia upendo radio wanaongelea kuhusu kuuza maji ya upako au chochote kinachofanana na hicho?? Usitoe tuhuma za jumla!!
 
Je uliwahi kuwasikia upendo radio wanaongelea kuhusu kuuza maji ya upako au chochote kinachofanana na hicho?? Usitoe tuhuma za jumla!!

As long as katika kipindi chao wanahamasisha utoaji wa sadaka (kanisani ama kwa wachungaji) badala hata kwa maskini, basi huo nao ni ukora.

Pili, radio zimekuwa zikijaribu kuwahubiria waumini watoe shuhuda za kupona ama kufanikiwa baada ya kujiunga na hayo makanisa au kutoa sadaka, huu nao ni ukora maana shuhuda nyingi ni za uwongo.

tatu, zaidi ya nusu ya muda wa kipindi ni uhamasishaji wa utoaji sadaka na shuhuda. Ni umbali mrefu kutoka kufunza watu neno la Mungu na upendo baina ya waumini, nafikir ingeenda hivi tungeon nia ya kweli.
 
Wew acha hizo unaijua radio maria ww au unaongea tu
Wanaomba hatari mpaka 100 wanaitka Alafu ni kila mwaka kwa ajili ya kulipia leseni ml 68

So kuomba omba hakuishi

Mm wanachonishangaza kama hawana pesa ya kulipia hiyo radio siwaifunge tu kuliko kusumbua wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu the way wanavyoiendesha radio Maria hawajatarget kufanya biashara ndo mana hawana matangazo ya kibiashara mengi.
Lengo lao ni kutangaza neno la Mungu na ndio maana hawapigi nyimbo za bongo fleva e.t c.
Kutoa ni moyo sio utajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawaishindi Redio Maria,wameacha kuhubili neno la Mungu wamekuwa watoza ushuru muda wote,hadi wanakela sisi waumini wao.
Mkuu hulazimishwi kuchangia radio ya mama,hiyo ni hiari yako.
Nashukuru mwitikio ni mzuri wa watu kuichangia.
Mwaka huu imepewa leseni ya kusikika nchi nzima lengo lao sio kufanya biashara kama radio nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee hii redio kila kipindi wanaomba sadaka, anatoka huyu mtangazaji akiingia mwingine ni kutaja namba za M-Pesa, mahubiri yao ni sadaka tu kila saa kuchangia sadaka.

Wanaanzishaje redio kwa kutegemea sadaka tu .
😆😆😆😆
 
Hujalazimishwa kutoa wache wacha Mungu watoe unajua kuna wengine wanafikiri fedha ya kanisa unajichotea tu kuna taratibu zake Jaribu kula hela ya kanisa kama hujapata laana
 
Sasa wakale wapi uspotoa sadaka

stidy
 
Aisee redio maria si wapo worldwide na pia si kuna hela wanazipokea toka nje kuendesha redio na miradi ,kanisa katoliki ina miradi mikubwa sana kuanzia vyuo na shule ,mi nadhani hizo michango ya redioni kuna namna hapo
Mkuu the way wanavyoiendesha radio Maria hawajatarget kufanya biashara ndo mana hawana matangazo ya kibiashara mengi.
Lengo lao ni kutangaza neno la Mungu na ndio maana hawapigi nyimbo za bongo fleva e.t c.
Kutoa ni moyo sio utajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mkuu we toa sadaka
Hujalazimishwa kutoa wache wacha Mungu watoe unajua kuna wengine wanafikiri fedha ya kanisa unajichotea tu kuna taratibu zake Jaribu kula hela ya kanisa kama hujapata laana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom