mkuu naomba nisaidie Frequency za Upendo FM kwenye Azam decorder
basi waibaidili jina waiite sadaka fm na jingle kuu iwe upendo ni sadaka. just kiddingAisee hii redio kila kipindi wanaomba sadaka ,anatoka huyu mtangazaji akiingia mwingine ni kutaja namba za mpesa ,mahubiri yao ni sadaka tu kila saa kuchangia sadaka.
Wanaanzishaje redio kwa kutegemea sadaka tu .
Ni kweli, wanaojua faida yake wanatoa kwa moyo na kwa furaha na HUDUMA wanaifurahia. Hujalazimishwa kutoa!! na hujalazimishwa kufungua steshen ya upendo radio!! Kwa nini ulalamike!!sasa hizo sadaka si ndio zinatumika kulipa gharama za kurusha vipindi na kuwalipa presenters mkuu,hakuna mahubiri ya Bure kwenye Radio we toa tu
haya nilikua nakusalimia tuPoa Lucas
kama unasikiliza na sadaka hutoi siyo vizuri, bora uskilize TBC inayoendeshwa kwa kodi yako.Aisee hii redio kila kipindi wanaomba sadaka, anatoka huyu mtangazaji akiingia mwingine ni kutaja namba za M-Pesa, mahubiri yao ni sadaka tu kila saa kuchangia sadaka.
Wanaanzishaje redio kwa kutegemea sadaka tu .
Ukiwa unafanya biashara ambayo hulipi kodi ni lazima upate faida maradufu.basi waibaidili jina waiite sadaka fm na jingle kuu iwe upendo ni sadaka. just kidding
Mbona zipo na nyingine za kiisilamu na kikiristu.Aisee hii redio kila kipindi wanaomba sadaka, anatoka huyu mtangazaji akiingia mwingine ni kutaja namba za M-Pesa, mahubiri yao ni sadaka tu kila saa kuchangia sadaka.
Wanaanzishaje redio kwa kutegemea sadaka tu .
Mkuu kichwa Chako kazi yake ni kubeba nywele?Unadanganywa unakubali.Hiyo inamilikiwa na KKT DMP chini ya Malasusa.Dayosisi ya Kasikazini wana redio Sauti ya Injili mpaka Uchumi Bank ni ya kwao.Uwe Unatumia akili kidogo Basi.
TBS ya wapi tena,weka frikwensi?!!!Achana nayo fungua TBS taifa huko hawaombiombi sadaka ni kusifu na kuabudu tu
Kweli mkuuWataanzishaje media kwa kutegemea sadaka ,kwanini wasitafute matangazo ,mbona redio zingine zinafanya vizuri kwa matangazo
Kwa mini hautaki shobo na mfia diniHata hapo naona umewapa "hadhi" fulani!
Kusema "wanaomba sadaka" hapo unajaribu kuficha ukweli!
Hao jamaa ni wezi, ni kama wezi wengine.
Wanatumia kulaghai na kuwapumbaza watu kuwa mungu atawazidishia mara dufu!
Hawana tofauti na wale jamaa wa "Ile hela itume kwenye namba hii"
Staki shobo na mfia dini!