Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Inategemeana uko kwenye kipindi gani katika harakati za maisha na uzito wa majukumu unachangia MTU kuacha pombe , kuna jamaa alikuwa katumia na wenzie kama 60000 hivi kufika nyumbani mwanae hoi ikabidi akepelekwe hospitali jamaa hapo hana kitu mfukoni akawa anakumbuka hela aliyotumia , akaenda kwa jirani kuazima 10000 walifokeana na mke wake balaa, kuanzia hapo akaacha jumla
 
Aiseee huu mtiti sioo poa yanii sema namshukuru munguu mimi sio mpenzi wa bia na huwa napenda ninywe home tu. Japoo zamanii nilikuwa sifaiii mpaka kufikia hatua ya kuyumba aiseee achaa.

Najua nikinywa k vant nika mix na bia yangu moja basiii hapo niko fresh tuta tafutana next time na kiu napoooza na revella saizi baada ya kuona double kick zinani pindua asubuhiiii.
 
Sema ulevi ni uzembe wa kampanii mimi marafiki wangu wengi walikuwa ni pombe nikaweka ratiba kuwa na cancle wote na nahama mazingira kwelii nilifanikiwa kwa kiwangoo chakeee maana nilikuwa naenda kupotea kabisaa.

Saizi nakunywa kiasii kidogo sana na kwasababu sina majukumuu.
 
Jomba unaijua Nyeto wewe?

Kama hujawahi, usije kujaribu
 
Kuna mshikaji wangu mmoja alifanyaga yote hayo... Akaacha kabisa.
Hata tukikutana company hagusi kabisa.. Nikamuheshimu kinoma hadi nikaanza kumuonea wivu.

Siku ya Siku nikamkuta kalewa..weekend saa sita mchana.

Nilicheka kisen...
Hahaha, hii inatokea kwa watu wengi sana, ishawahi kumtokea jamaa yangu pia baada ya muda tupo sehemu anaagiza chupa, jamaa anakwambia pombe hauachi unasimama kwa muda.
 
Kuacha unaweza tu,mbona Mimi niiweza japo Jana wakati natizama game ya Arsenal na Man City nikajikuta naagiza castle baridi,ngoja nijaribu kuacha tena
 
Sijawahi kujaribu. Ndio nataka nionje kwa sasa.
Haha haya kama ushaweka nia, karibu chamani.
Ila itategemea utaonja pombe ya aina gani coz ziko za aina nyingi, usije ukaonja Gin, whiskey au spirit zikakupelekesha ukageneralize kuwa pombe zote ni mbaya😁😁
 
nyeto ni pepo yani ukimaliza kupiga unaapia kuwa hautorudia tena ila hauchukui round utajikuta tu ushapiga tena, addiction is addiction
 
nyeto ni pepo yani ukimaliza kupiga unaapia kuwa hautorudia tena ila hauchukui round utajikuta tu ushapiga tena, addiction is addiction
Kwahyo nyeto Haina dawa!?
 
Wazima jamani?

Katika maisha kuna mambo mbalimbali yanayompa mwanadamu burudani. Mambo hayo Ni Kama pombe, music, soccer, wanawake (madem), story n.k. Ila usiombe kuzoea pombe iwe kama kiburudisho chako inatesa sana utaacha Kama huna pesa lakini ukipata lazima ukazimue kidogo.

Ila natamani kuacha make naona inanikera sana. Sema stress za maisha zinanifanya niendelee kulewa tu. Nakumbuka Kuna siku niliishiwa nikajaribu kunywa Gongo aisee nilishindwa kabisaa. Nikasema ngoja nitafute pesa ili niendelee kupiga Konyagi na K Vant
Aisee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom