Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Wazima jamani?

Katika maisha kuna mambo mbalimbali yanayompa mwanadamu burudani. Mambo hayo Ni Kama pombe, music, soccer, wanawake (madem), story n.k. Ila usiombe kuzoea pombe iwe kama kiburudisho chako inatesa sana utaacha Kama huna pesa lakini ukipata lazima ukazimue kidogo.

Ila natamani kuacha make naona inanikera sana. Sema stress za maisha zinanifanya niendelee kulewa tu. Nakumbuka Kuna siku niliishiwa nikajaribu kunywa Gongo aisee nilishindwa kabisaa. Nikasema ngoja nitafute pesa ili niendelee kupiga Konyagi na K Vant
Kweli kuna ulazima wa kuacha kabisa! Hata mimi nikinywa huwa kesho yake najisikia vibaya sana - kwamba hiyo hela ningeweza kuwanunulia watoto vitabu au hata kuitunza kwa emergency After all, wife hataki ninywe maana anadai inamkera ile mbaya. Jana nilikunywa, lakini leo asubuhi kama kawaida nilianza kutafakari na nikapata wazo niachane nayo au for good au mpaka hapo nitakapokuwa na 'akiba ya kutosha' na siyo kufanya mazoea hata kama huna cash muda huo mwenye baa kwa vile anakuamini anakwambia 'hamna shida utalipa siku nyingine'. Naona pia ni namna ya kutunza afya.
 
Kweli kuna ulazima wa kuacha kabisa! Hata mimi nikinywa huwa kesho yake najisikia vibaya sana - kwamba hiyo hela ningeweza kuwanunulia watoto vitabu au hata kuitunza kwa emergency After all, wife hataki ninywe maana anadai inamkera ile mbaya. Jana nilikunywa, lakini leo asubuhi kama kawaida nilianza kutafakari na nikapata wazo niachane nayo au for good au mpaka hapo nitakapokuwa na 'akiba ya kutosha' na siyo kufanya mazoea hata kama huna cash muda huo mwenye baa kwa vile anakuamini anakwambia 'hamna shida utalipa siku nyingine'. Naona pia ni namna ya kutunza afya.
Suala LA pombe mkuu acha kabisa kuacha ni next to impocibble Mimi nimeamua tu kuishi nayo kama corona na ninajitahidi sana nisiingie kwenye starehe nyingine maana nimeona ugumu wa kutoka kwenye pombe
 
Wakuu,pombe inamtesa bro wangu mpk amechakaa aisee ,yeyote anaejua hata dawa za kienyeji aniambie nimsaidie, maana nahis iko siku watamwokota kagongwa na gari na kakata moto,na anaishi Dar .Tafadhari hili kweli ni tatizo kwa wengi sana.
 
Wazima jamani?

Katika maisha kuna mambo mbalimbali yanayompa mwanadamu burudani. Mambo hayo Ni Kama pombe, music, soccer, wanawake (madem), story n.k. Ila usiombe kuzoea pombe iwe kama kiburudisho chako inatesa sana utaacha Kama huna pesa lakini ukipata lazima ukazimue kidogo.

Ila natamani kuacha make naona inanikera sana. Sema stress za maisha zinanifanya niendelee kulewa tu. Nakumbuka Kuna siku niliishiwa nikajaribu kunywa Gongo aisee nilishindwa kabisaa. Nikasema ngoja nitafute pesa ili niendelee kupiga Konyagi na K Vant
Mimi huwa nikiamua naacha, nakaa mpaka miaka miwili bila kunywa pombe.

Kwa sasa nimeacha tangu May 31 2020.

Ikifika May 31 2021 kunapo uzima nitaamua kuendelea kupumzika au kurudi kundini.
 
Kweli kuna ulazima wa kuacha kabisa! Hata mimi nikinywa huwa kesho yake najisikia vibaya sana - kwamba hiyo hela ningeweza kuwanunulia watoto vitabu au hata kuitunza kwa emergency After all, wife hataki ninywe maana anadai inamkera ile mbaya. Jana nilikunywa, lakini leo asubuhi kama kawaida nilianza kutafakari na nikapata wazo niachane nayo au for good au mpaka hapo nitakapokuwa na 'akiba ya kutosha' na siyo kufanya mazoea hata kama huna cash muda huo mwenye baa kwa vile anakuamini anakwambia 'hamna shida utalipa siku nyingine'. Naona pia ni namna ya kutunza afya.
Jaribu ku msikiliza wifee. Ila sametime pombe inasaidia kukupa mzuka wa furaha na kuliwaza mawili matatu ila kama una familia na bado changaa wewe una nafasi kubwa sana ya kuachaa.

Jaribu kunywa pale unapo watoa out familia ukiwa na mkeoo.
 
Wazima jamani?

Katika maisha kuna mambo mbalimbali yanayompa mwanadamu burudani. Mambo hayo Ni Kama pombe, music, soccer, wanawake (madem), story n.k. Ila usiombe kuzoea pombe iwe kama kiburudisho chako inatesa sana utaacha Kama huna pesa lakini ukipata lazima ukazimue kidogo.

Ila natamani kuacha make naona inanikera sana. Sema stress za maisha zinanifanya niendelee kulewa tu. Nakumbuka Kuna siku niliishiwa nikajaribu kunywa Gongo aisee nilishindwa kabisaa. Nikasema ngoja nitafute pesa ili niendelee kupiga Konyagi na K Vant
Yaani ata Mimi hii ya kuacha mitungi in nitesa yaani nikivumilia Sana ni siku moja
 
Jaribu kukaa siku 66 bila kunywa ukiweza imetoka hiyo, kwa upande wangu nilijaribu sikumaliza week mbili nikarudi tena kwa kasi ya ajabu. Kama una ndugu hawakupendi au mna mgogoro unaweza kuhisi umefanyinywa figisu kumbe wap. Nimepanga nijaribu tena kuanzia mwezi wa nane.
 
Kweli kuna ulazima wa kuacha kabisa! Hata mimi nikinywa huwa kesho yake najisikia vibaya sana - kwamba hiyo hela ningeweza kuwanunulia watoto vitabu au hata kuitunza kwa emergency After all, wife hataki ninywe maana anadai inamkera ile mbaya. Jana nilikunywa, lakini leo asubuhi kama kawaida nilianza kutafakari na nikapata wazo niachane nayo au for good au mpaka hapo nitakapokuwa na 'akiba ya kutosha' na siyo kufanya mazoea hata kama huna cash muda huo mwenye baa kwa vile anakuamini anakwambia 'hamna shida utalipa siku nyingine'. Naona pia ni namna ya kutunza afya.
Hauna tofauti na mimi huwa najutia sana pesa yangu lakini hangover ikiisha najipelekea mwenyewe bil shurti.
 
Si pombe pekee..kitu chochote ulichokiwekea mazoea kwenye matumizi ni ngumu kukiacha...jitahidi tu Anza kupunguza idadi uliyoizoea.. utaacha tu..mdogo mdogo
Upo sahihi vile vitu ambavyo uhitaji wake ni kutokana na matumizi ya mazoea kuviacha ni ngumu. They need a heartly denying and stop thinking about them na ikiwezekana kujiweka mbali kabisa na mazingira ya kuvipata hivyo vitu.
Tatizo wengi wanaacha mpaka doctor ashauri baada ya kupata tatizo lililosababishwa na over consumption ya hiko kitu which is too bad.
 
Mbona rahisi unachofanya ni kubadilicha ratiba tu, muda umaolewa menda uwanjani kacheze, badilisha mazingira, badilisha kampani, marafiki, piga kazi zinazochukua mda mrefu ili ucpate mda wa kwenda rabuka uwezi kuacha ghafla ila unaanza kupunguza kiwango, mfaano unawza kupunguza bia moja kila mwez, ili kufikia miez 6 au mwaka uwe umeacha kabisa.

Njia nyingine unaweka intavoo ya kunywa mfaano mara moja kwa wiki mwezi wa kwanza, mara moja kwa wiki 2 mwezi wa pili, mara moja kwa mwezi wa 3.

Hapa nilipo mi nakaaga miezi 3 nisisikie kiu kabisa wakati 2010 tu apo nilikua nashinda kilabuni

Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
 
Jaribu kukaa siku 66 bila kunywa ukiweza imetoka hiyo, kwa upande wangu nilijaribu sikumaliza week mbili nikarudi tena kwa kasi ya ajabu. Kama una ndugu hawakupendi au mna mgogoro unaweza kuhisi umefanyinywa figisu kumbe wap. Nimepanga nijaribu tena kuanzia mwezi wa nane.
Haa hahaa haa

Noma.
 
Upo sahihi vile vitu ambavyo uhitaji wake ni kutokana na matumizi ya mazoea kuviacha ni ngumu. They need a heartly denying and stop thinking about them na ikiwezekana kujiweka mbali kabisa na mazingira ya kuvipata hivyo vitu.
Tatizo wengi wanaacha mpaka doctor ashauri baada ya kupata tatizo lililosababishwa na over consumption ya hiko kitu which is too bad.
Ukweli mtupu
 
Mbona rahisi unachofanya ni kubadilicha ratiba tu, muda umaolewa menda uwanjani kacheze, badilisha mazingira, badilisha kampani, marafiki, piga kazi zinazochukua mda mrefu ili ucpate mda wa kwenda rabuka uwezi kuacha ghafla ila unaanza kupunguza kiwango, mfaano unawza kupunguza bia moja kila mwez, ili kufikia miez 6 au mwaka uwe umeacha kabisa.

Njia nyingine unaweka intavoo ya kunywa mfaano mara moja kwa wiki mwezi wa kwanza, mara moja kwa wiki 2 mwezi wa pili, mara moja kwa mwezi wa 3.

Hapa nilipo mi nakaaga miezi 3 nisisikie kiu kabisa wakati 2010 tu apo nilikua nashinda kilabuni

Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
Kuna mshikaji wangu mmoja alifanyaga yote hayo... Akaacha kabisa.
Hata tukikutana company hagusi kabisa.. Nikamuheshimu kinoma hadi nikaanza kumuonea wivu.

Siku ya Siku nikamkuta kalewa..weekend saa sita mchana.

Nilicheka kisen...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom