Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Si pombe pekee..kitu chochote ulichokiwekea mazoea kwenye matumizi ni ngumu kukiacha...jitahidi tu Anza kupunguza idadi uliyoizoea.. utaacha tu..mdogo mdogo
Ila mi naonaga kwenye vitu vibaya tu ndo kuviacha ni vigumu
 
Jamaa itakua hujawah kuwa mpiga punyeto + kutazama picha za X.
 
Wazima jamani?

Katika maisha kuna mambo mbalimbali yanayompa mwanadamu burudani. Mambo hayo Ni Kama pombe, music, soccer, wanawake (madem), story n.k. Ila usiombe kuzoea pombe iwe kama kiburudisho chako inatesa sana utaacha Kama huna pesa lakini ukipata lazima ukazimue kidogo.

Ila natamani kuacha make naona inanikera sana. Sema stress za maisha zinanifanya niendelee kulewa tu. Nakumbuka Kuna siku niliishiwa nikajaribu kunywa Gongo aisee nilishindwa kabisaa. Nikasema ngoja nitafute pesa ili niendelee kupiga Konyagi na K Vant
Mkuu mimi nilisema nimeacha baada ya kuka miaka 4 ila nikipata fungu kubwa lazima nikanyweee tena ile fukia mbwaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom