Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

You have no experience Chief
Hakuna kitu kigumu kama mwanaume kuacha umalaya aka kuchepuka.

Nimefeli several times tena kwenye initial stages.
Lord have mercy iko siku ntaweza
 
Mambo mengine. Hivi mtu unaanzaje kuwaza kuacha pombe? Umechanganyikiwa?
 
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi lengo lako litimie.

Kusudia, nuia, kamia unaweza
 
Hakuna jambo linaloshindikana if you're keen enaugh to stop it. Cha msingi ni kubadirisha aina yote ya mazingira yaliyokuwa yakikufanya unywe.
 
Hiki kitabu kitakusaidia sana kupunguza au kuacha.
Ifahamu pombe.jpg
 
Ujinga tu.
Kwani unakunywa masaa 24,huo muda ambao hunywi unajikontrol vipi?
Kukusaidia tu, oa mwanamke mrembo, mpole na mwenye hekina anaye kufanya utamani kuwahi nyumbani. Utaacha pombe. Kama umeoa nunga yembe lenye maneno ya kuudhi sura mbaya, shepu mbaya na kejeli, my friend, you will drink till you die.
 
kweli ni ngumu ila kuna dawa wanakua nayo masheikh ni maji ya zamzam yanasomewa na kuchanganya na dawa flani kisha unakunywa au unamuekea huyo mlevi bila kujua ataichukia pombe milele mpaka anakufa hatokunywa
 
Kuacha sigara ndo shida; ukiona mwenzio anavuta tu tunagongea na tulivyo wavutaji hatunyimiani, tumekubali tufe wote.
sigara zinalewesha na zenyewe kama k vant au bia?? au zina nini
 
Kuna dawa ukiinywa utaacha pombe kwa lazima maana kila utakapokunywa pombe utatapika mpaka utahisi unakufa.
Kadharika sigara kuna dawa inakufanya unaacha taratibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom