Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Hakuna ngumu kama kuacha Pombe

Wazima jamani?

Katika maisha kuna mambo mbalimbali yanayompa mwanadamu burudani. Mambo hayo Ni Kama pombe, music, soccer, wanawake (madem), story n.k. Ila usiombe kuzoea pombe iwe kama kiburudisho chako inatesa sana utaacha Kama huna pesa lakini ukipata lazima ukazimue kidogo.

Ila natamani kuacha make naona inanikera sana. Sema stress za maisha zinanifanya niendelee kulewa tu. Nakumbuka Kuna siku niliishiwa nikajaribu kunywa Gongo aisee nilishindwa kabisaa. Nikasema ngoja nitafute pesa ili niendelee kupiga Konyagi na K Vant

Adjustments.jpg
 
Ndio best kuna mtu humu kaulizia kama kuna dent kafariki kuambiwa hakuna ila Kuna mmoja alipata ajali Jana a kafariki na alikuwa mwaka wa kwanza,

Mleta mada alikuwa na id mbili, mwishoni kaambiwa athibitishe akapotea
Shoga huyu dogo yuko hai...amini hivyo
[/QUOTE
 
Ndio best kuna mtu humu kaulizia kama kuna dent kafariki kuambiwa hakuna ila Kuna mmoja alipata ajali Jana a kafariki na alikuwa mwaka wa kwanza,

Mleta mada alikuwa na id mbili, mwishoni kaambiwa athibitishe akapotea

Khaaaa🤣🤣🤣 umomi mshenz sana
 
Ndio best kuna mtu humu kaulizia kama kuna dent kafariki kuambiwa hakuna ila Kuna mmoja alipata ajali Jana a kafariki na alikuwa mwaka wa kwanza,

Mleta mada alikuwa na id mbili, mwishoni kaambiwa athibitishe akapotea
Nilishindwa kula Jana..nikalala njaa. Shenzi zake
 
Kuacha sigara ndo shida; ukiona mwenzio anavuta tu tunagongea na tulivyo wavutaji hatunyimiani, tumekubali tufe wote.

kila jambo linawezekana ni kuweka nia tu...mimi nilikuwa naitwa gari moshi kwa uvutaji wa sigara..kitu embassy..per day nilikuwa navuta zaidi ya packet moja..lakini niliweza kuacha mwenyewe tena bila ya kulazimishwa na mtu yoyote....

Uvutaja wa sigara ni hatari kwa afya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom