JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,679
- 6,019
Wakuu, hivi kisheria hii imekaaje!? Kuna uwezekano wa kuwafungulia shauri mahakanani hawa watoa Huduma kama Vodacom Tanzania kwa tatizo la kuchelewesha muamala wangu wa MUHIMU!?
Haya makampuni yamekuwa yakifanya kazi kwa mazoea sana... na kufanya wanachojisikia...
Hivi hakuna sheria ya wajibu wa mtoa Huduma kwa mteja!?
Na je vipi kama amekiuka huo wajibu. Nini kinafanyika!?
Wajuvi wa sheria tusaidiane kwa hili. Hii imekuwa kero aisee
Haya makampuni yamekuwa yakifanya kazi kwa mazoea sana... na kufanya wanachojisikia...
Hivi hakuna sheria ya wajibu wa mtoa Huduma kwa mteja!?
Na je vipi kama amekiuka huo wajibu. Nini kinafanyika!?
Wajuvi wa sheria tusaidiane kwa hili. Hii imekuwa kero aisee