Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Wanaoafikiana na HOJA waseme ndiyo .................................!!!!


Wasioafiki waseme sio.......................................................!!!!



Walioafiki wameshinda. Mleta hoja tuletee nyingine hii imeshapita.
 
kwa hyo na mm nitaishia kweny kidegree tu hapa jaman., mbona hatari sasa., aya wanaume kaeni kando
 
Ni ukweli uliowazi kabisa, wanawake wazuri i mean kuanzia sura, umbo hadi tabia hawafiki mbali kielimu.

Wengi huishia Kidato cha nne, sita na walau degree ya kwanza.
Nadhani hii inasababishwa sana na kuhitajika kwao na wanaume, either kwenye kuolewa au kuchezewa tu na hii ni changamoto kwa wasichana wengi waliozaliwa na sura na maumbo mazuri.

Good kwa wale wasiovutia, at least wao wanaweza kufika fika mbali kidogo.
Mfano mzuri ni hawa wanaofundisha vyuo vikuu, hawako vizuri sana, ukianzia sura na miili, lakini ni wasomi, holding masters degree na Wengine PHD's.

Hata viongozi wanawake waliosoma still sura zao, miili yao na hata tabia zao si nzuri sana.

Marehemu Amina Chifupa, alikuwa mzuri mzuri, ila kielimu she was very low.

So external forces zinachangia sana kwa wadada wazuri kusonga mbele kielimu, hata kama uwezo wanao.
Nahitimisha.

najiamini mm ni mzuri na nilishapata mchumba wa kunioa mara tuu nimemaliza kidato cha sita... but niliona nisome kwanza and now am persuading my master studies, working,owning a small bizness and very much independepnt kwa uwezo wake maanani... my take is wapo wanaofka mbali na uzuri wao babaa.
 
Wapo wengi tu, ukienda CASS hupo UDSM mwenyewe utasadiki, kuna watoto kama hawaendi haja kubwa vile...have a look at Jokate...
 
ni ukweli uliowazi kabisa, wanawake wazuri i mean kuanzia sura, umbo hadi tabia hawafiki mbali kielimu.

Wengi huishia kidato cha nne, sita na walau degree ya kwanza.
Nadhani hii inasababishwa sana na kuhitajika kwao na wanaume, either kwenye kuolewa au kuchezewa tu na hii ni changamoto kwa wasichana wengi waliozaliwa na sura na maumbo mazuri.

Good kwa wale wasiovutia, at least wao wanaweza kufika fika mbali kidogo.
Mfano mzuri ni hawa wanaofundisha vyuo vikuu, hawako vizuri sana, ukianzia sura na miili, lakini ni wasomi, holding masters degree na wengine phd's.

Hata viongozi wanawake waliosoma still sura zao, miili yao na hata tabia zao si nzuri sana.

Marehemu amina chifupa, alikuwa mzuri mzuri, ila kielimu she was very low.

So external forces zinachangia sana kwa wadada wazuri kusonga mbele kielimu, hata kama uwezo wanao.
Nahitimisha.

watu hapo wanabishi bure, zaidi ya asilimia 90 ya wanawake wanaofikia hata degree tu sura bandidu, na wakija chuo hukimbilia kama udsm hukimbilia bicom, sociology, pspa, bandidu zaidi engeneer, sheria. Kwa nini wajitese wakati soko liko juu.aka..........!
 
najiamini mm ni mzuri na nilishapata mchumba wa kunioa mara tuu nimemaliza kidato cha sita... but niliona nisome kwanza and now am persuading my master studies, working,owning a small bizness and very much independepnt kwa uwezo wake maanani... my take is wapo wanaofka mbali na uzuri wao babaa.

kwa mwandiko huu!! wewe mwongo.
 
waziri wa mambo ya nje wa kenya si kwamba ana shule ya kutisha bali amepewa madaraka na buzi lake
 
najiamini mm ni mzuri na nilishapata mchumba wa kunioa mara tuu nimemaliza kidato cha sita... but niliona nisome kwanza and now am persuading my master studies, working,owning a small bizness and very much independepnt kwa uwezo wake maanani... my take is wapo wanaofka mbali na uzuri wao babaa.

kwa mwandiko huu!! wewe mwongo.
 
ndiyo msomi huyo? kwanza jokate mwenyewe sura tu. figure hata mwallu ni bomba

Kwa hiyo mtu mwenye Bachelor degree sio msomi, basi sawaa... Then Jokate ni mkali tena sana tu, unless uwe unapepesa macho...


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom