Extraordinary
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 541
- 178
reference plzz!
Mbona umeguna mtu wangu..siku hizi hata madr wamebadilika kuna watoto wakali kweli kutoka feza, marian, st fransis..na wanajua kila kitu urembo na shulemhhhhhhh
sio kweli
reference plzz!
Mke wako ulimuachisha masomo weye
Ideally labda inatakiwa iwe hivyo lakini in actuality haiko hivyo kabisa.
Hivi unadhani kukiwa na hafla sehemu halafu kwenye waalikwa wakawemo Ngozi Okonjo-Iweala, Wema Sepetu, Kidoti, Linda Express, Missy Temeke, Anna Tibaijuka, Muke ya Muzungu, Pindi Chana, Juliana Shonza, Dina Marios, Isha Mashauzi, Khanifa Maulid, na Jokha Kassim......
Nani kati ya hao unadhani ata turn heads na kuombwa namba ya simu?
Nakubaliana na mleta hoja hii IPO especially kwa wasichana wazuri waliozaliwa kwny familia maskini coz miluzi inakuwa mingi mpk inafkia kipindi anashindwa kuhimili presha ya wanaume.....mi binafsi hya yashamkuta dadangu akiwa form 3 hali ilikuwa mbaya sana yaan akiwa ilifikia kipindi akiwa anatoka shule anakutana na njemba zimepaki magari zinamsubiri sometym washikaji mpk wanazua ugomvi kiss cster
Wapo,tena yumo humu jf,ana degree 4,akianza kudadavua mambo utapenda! Anaitwa JULIANA SHONZA
Acha dharau kwa muumba wako. Sote tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Hakuna mwanadamu mbaya! Ubaya uzuri unauona kwa macho yako. Hujawahi kusikia kazi ya Mungu haina makosa? Binadamu wewe mbona unataka laana kwa kukosoa uumbaji wake Mola?
Mh,Prof.mama Anna Tibaijuka ataombwa namba, mie huwa namzimikia sana, vipi Rose Migiro
sasa huyu ana uzuri gani? au una makekengeza?![]()
![]()
MANAGING DIRECTOR OF SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY
sio kweli mkuu.....mke wangu ana Master ya kutibu Meno na yuko Bomba tu! kama unataka picha sema
xiexie sikuelewa wanaposema mwanamke mzuri wanamaanisha mwenye maumbile mazuri na kishtobe??😕😀😀😀 mbona umefurahi hivyo jamaniiiiiiiiiii? Dokta una vituko wewe!!😀😀😀😀😀😀😀😀😀 koh koh koh koh