Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,018
- 142,717
Corazon aki-twerk
Last edited by a moderator:
Kuna mahali niliona 'beauty gets the eyes but personality gets the attention', ni kweli?
Ngabu ikibidi uchague mmoja tu utachagua yupi?mimi naona Dorothy
Mi Masogange
Hahaaaa funny nilijua ungesema masogange. Be careful..naona anakuingia moyoni
Hahahaaa.....Dorothy hajakuingia moyoni bado?
Nimecheka saana hayo mazungumzo yenu humu..!! Lol..
Wapo wadada wenge wakali sana na wamesoma pia wapo wengi sana yupo dogo mmoja nilikuwa nakimbiza tulikutana bunge la katiba anamiaka 30 kwa sasa lakini tayari anadegree tatu moja kaipatia bongo,nyingine uongereza na tatu brazil halafu dogo mkali nikisema mkali jua mkali kweli halafu hata uwanjani yuko vizuri sana mpole hana pupa na mnyenyekevu sana penzini huo utafiti wako siyo.
kwani we ni mrembo
tena mrembo aliye jalia mashalah na skonga ipo vzuri tu
Kama masogange shepu?
Upo bomba mtoto..Heheheeee.... Na hii PHD yangu...!!!!!!!!!
Siaminiyani ya hatari mkuu nimekamilika kila idara ndo cha muhmu
Upo bomba mtoto..
Heheheeee.... Na hii PHD yangu...!!!!!!!!!
Mkenya Vera Sidika
![]()
Mkuu the boss hilo utakua unapaki basi la chelsea sasa..Mnhhh mali za watu..taratibu