Iyo silve rope wahuni hawakukata ili ubaki huko huko wakupe kazikumejaa wafu
Mtu akiishakufa hawezi kutokea tena hata ndotoni. Hao ni mashetani wanakuingiza mkengeNi nn hua kinatokea Mshana Jr
Unakuta unaota unaongea na mtu aliewah kufa anakuambia ufanye kitu flan kitafanikiwa na ukikifanya kinafanikiwa kwel
Wat happening
Kweli kabisa. Hili linamhusu hata Papa. Zile ngonjera za marehemu awekwe mahali pema peponi hazina kitu wakuuNAKAZIA........................................
JENGA MAISHA YAKO YA BAADA YA KUFA UKIWA HAI KWA KUWA UKIFA HAKUNA NAFASI YA KUTENGEZA HATA UZIKWE NA PAPA
EBR. 9:27-28 SUV
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
ndugu mshanar!!!hyo kazi ya mochwari imekufanya uwe mwendawazimu na kuwa na theory au nadharia mbali mbali za kufikirika!!!!hasa ukizitazama maiti usoni unajenga taswira fulani hv ambayo haina uhalisia!!!bado kifo ni fumbo ambalo hadi sasa mwanadamu ameshindwa kulifumbua!!!!!maneno ya dini bado ni ngonjera zisizo tosheleza hisia zetu!!!ikitokea siku mtu akafa akafufuka tukamuuliza maswali alikokua tutapata picha angalau!!!!hata yesu hakutoa picha halisi ya nini kilijiri huko!angekuwepo ningemuuliza mengi!!!
kumbe ndoto ya kupambana na mahondow hii round ya kwanza ,watch it reincarnation oyeeeHahaaa labda umpate kwenye reincarnation lakini sio mbinguni
kutoka nje ya box?mshanar inamaana kuna maisha mengine zaidi ya haya?hebu niambie 2021 raisi wa tz atakuwa nani?hebu kachungulie uje uniambie!!!!naamini hutokasirika kwa homework hiyo!!!!!mambo ya ajabu haya!!!Asante kwa kuchangia.. Hata mimi mwanzoni nilikuwa na mawazo kama haya yako mpaka nilipotoka nje ya box... Ni ngumu sana kumweleweshq mtu ladha ya soda kama hajawahi kuinywa.... Ni ngumu zaidi kama ukimwekea aonje lakini hataki huku akiendelea kushikilia msimamo wake
kutoka nje ya box?mshanar inamaana kuna maisha mengine zaidi ya haya?hebu niambie 2021 raisi wa tz atakuwa nani?hebu kachungulie uje uniambie!!!!naamini hutokasirika kwa homework hiyo!!!!!mambo ya ajabu haya!!!