Rainerius rwengagira
Member
- May 3, 2019
- 66
- 51
Mambo ya kimungu hayawezi kujibiwa na akili za kibinadamu .heri wanao amini bila kuona4 hours no reply Why,
Asante sana mkuu kwa Elimu yako kwa hiyo unataka kusema kwamba hao waliokufa na kuzikwa pamoja hapo bagamoyo ni kazi bure hakuna muungano wowote wa kiroho na Nafsi zao huko waendako?
Pili Kwa Nini Upendo/Mapenzi/Kujuana ni kwa Dunia tu na sio mbinguni kule kwenye upande wa kiroho mkuu ina maana Ukifa Memory yako yote inakuwa Erase(Futika) na unaenda kuanza New chapter nieleweshe hapo kidogo.