Hakuna mawasiliano ya kiroho kati ya wafu

4 hours no reply Why,

Asante sana mkuu kwa Elimu yako kwa hiyo unataka kusema kwamba hao waliokufa na kuzikwa pamoja hapo bagamoyo ni kazi bure hakuna muungano wowote wa kiroho na Nafsi zao huko waendako?

Pili Kwa Nini Upendo/Mapenzi/Kujuana ni kwa Dunia tu na sio mbinguni kule kwenye upande wa kiroho mkuu ina maana Ukifa Memory yako yote inakuwa Erase(Futika) na unaenda kuanza New chapter nieleweshe hapo kidogo.
Mambo ya kimungu hayawezi kujibiwa na akili za kibinadamu .heri wanao amini bila kuona
 
Nilisimuliwa na mtu alipewa dawa ya nusu kaputi, anadai akiwa hajitambui kimwili alienda sehemu kuna shimo likafunguka akazama huko, akakutana na watu kama hapa duniani ila wapo busy sana kila mmoja na mambo yake, aliulizwa na mmoja wa wakazi wa kule kwamba je umefata nini huku na wewe wakati muda wako bado?

Je mambo kama haya yanakaaje kiroho?
Hallucinations when you are half dead.... Unakutana na maroho pepo kibao yanayoranda Kila kona ya ulimwengu huu
 
Doctor hadili na mambo ya kiroho.... Labda iwe ni doctor wa kiroho
A na roho ndio maana akili au anatoa taarifa kuwa uyu mtu amekufa .kwa namna hiyo ndio maana hata ma dr.bigwa wanaenda kanisani au misikiti kutafuta suhuu ya uumbaji wa mungu unapo zaliwa na kufa ni jukumu la mungu sio la mwana damu
 
A na roho ndio maana akili au anatoa taarifa kuwa uyu mtu amekufa .kwa namna hiyo ndio maana hata ma dr.bigwa wanaenda kanisani au misikiti kutafuta suhuu ya uumbaji wa mungu unapo zaliwa na kufa ni jukumu la mungu sio la mwana damu
Anachothibitisha daktari ni kifo kutokana na mapigo ya moyo kusimama moja kwa moja na sio kutoka kwa roho kwakuwa hili sio jambo la kisayansi
 
Sawa mkuu nimeelewa vema kabisa,

Kuna tukio moja huwa linaniacha njia panda. Nilikuwa sina mahusiano mazuri na mzazi wangu baada ya kututesa na kuikimbia familia, niliahidi sitamsamehe. baada ya miaka kadhaa akiwa huko aliugua sana nikaitwa mara kadhaa sikufika kwasababu na mimi sikuwa na amani wala upendo kwake, akiwa anaumwa sana siku moja nikaota ndoto ananiomba msamaha mimi kwa niaba ya familia nzima, anaomba kwa uchungu sana na kuonyesha kujutia mno.

Nilipanga sitamsamehe, ila kutokana na uombaji ule tena mzazi Nikamsamehe katika ndoto na nikaachia yote moyo ukawa mweupe hata nilipoamka na nikapanga safari kwenda siku hiyo baada ya kuamka,

Wakati najiandaa nitoke asubuhi hiyo nikaambiwa mzee alifariki.

Hapa ndio naona kama ridhaa yangu kumsamehe ndio nikawa nimemuua.

Hakika wanadamu tunashi katika roho hai na mwili
Zipo kuzimu ama kwa tafsiri nyingine kaburini... Hizi ndio zile zinaitwa wafu waliolala kuzimu... Wengine husema paradiso
 
Sawa mkuu nimeelewa vema kabisa,

Kuna tukio moja huwa linaniacha njia panda. Nilikuwa sina mahusiano mazuri na mzazi wangu baada ya kututesa na kuikimbia familia, niliahidi sitamsamehe. baada ya miaka kadhaa akiwa huko aliugua sana nikaitwa mara kadhaa sikufika kwasababu na mimi sikuwa na amani wala upendo kwake, akiwa anaumwa sana siku moja nikaota ndoto ananiomba msamaha mimi kwa niaba ya familia nzima, anaomba kwa uchungu sana na kuonyesha kujutia mno.

Nilipanga sitamsamehe, ila kutokana na uombaji ule tena mzazi Nikamsamehe katika ndoto na nikaachia yote moyo ukawa mweupe hata nilipoamka na nikapanga safari kwenda siku hiyo baada ya kuamka,

Wakati najiandaa nitoke asubuhi hiyo nikaambiwa mzee alifariki.

Hapa ndio naona kama ridhaa yangu kumsamehe ndio nikawa nimemuua.

Hakika wanadamu tunashi katika roho hai na mwili
Wafu hukiona kifo masaa machache kabla hakijawafika.... Wengine hukiona hata siku chache kabla.... Hasa kama kuna kitu wanawiwa katika maisha yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom