Umeyataka mwenyewe kutembea na vibinti vya shule..................................!
kuwa na msichana anae kuomba omba pesa au sijui umuongezee salio kwenye simu yake!!utadhan wee ndio mzazi wake bana..badilikeni wote wenye hako katabia,kama mtu anajisikia kukupa,atakupa mwenyewe bila we kumkera kwa kumuomba ovyo.
ahh jaman mbona wanaume mnalalama sana?
kavocha tu?
bado mariedo apo
bado kawese km ana vtz
bado niongeze m3 ya kod ya nyumba
na ada ya dogo imepungua laki 9
WANAUME WA ZAMAN AHH WANATOA YOTE AYO BILA ATA KULALAMA...kwanza USIPOMWOMBA NAKWAMBIA INAKUWA UGOMVI MKUBWA.. VP MBONA AUNIOMB ELA?KUNA MTU ANAKUPA? ahh skuizi ukijifanya UNADUMISHA penzi kwa kuomba ela UNAKIMBIWA haha ahah mimi apana elewa kabsaaaaaaaaa......JAMAN NYIE WAUME TOEEEEEEEEEEEEEN toeeen na mungu anawwaona...hazina yenu ni kubwa mbinguni.....:smile-big: m not ready for battle:nono: peac kwa waongaji wooote:rockon:
kuna mkaka king'ang'aniz kwel,nmem-save mr.voucher,ye akikupigia mara 2 usipopokea anatuma voucher,den mi najifany sijaona ile credit den nam-bip akipiga,ananiomba msamaha kwa usumbufu!SI KING'ANG'ANIZI,CHEZEYA MIMI WEYE
Kweli bana wamezidi, wengine kwenye date wanakuja na kalkuleta bana. Wanakuchuna kwa kutumia logarizm.
Shukuru Mungu bado uko shule mnapeana mapenzi ya kishule shule. Mi nikipiga mzinga si chini ya kamilioni.
Toa vocha na ada hiyo baba, mwanaume hatambulishwi kwa sura, majukumu yanamtambulisha!