Babaeleze Rose,raha ya kuwa na mwanamke kumhonga bana!ahh jaman mbona wanaume mnalalama sana?
kavocha tu?
bado mariedo apo
bado kawese km ana vtz
bado niongeze m3 ya kod ya nyumba
na ada ya dogo imepungua laki 9
WANAUME WA ZAMAN AHH WANATOA YOTE AYO BILA ATA KULALAMA...kwanza USIPOMWOMBA NAKWAMBIA INAKUWA UGOMVI MKUBWA.. VP MBONA AUNIOMB ELA?KUNA MTU ANAKUPA? ahh skuizi ukijifanya UNADUMISHA penzi kwa kuomba ela UNAKIMBIWA haha ahah mimi apana elewa kabsaaaaaaaaa......JAMAN NYIE WAUME TOEEEEEEEEEEEEEN toeeen na mungu anawwaona...hazina yenu ni kubwa mbinguni.....:smile-big: m not ready for battle:nono: peac kwa waongaji wooote:rockon:
kuna mkaka king'ang'aniz kwel,nmem-save mr.voucher,ye akikupigia mara 2 usipopokea anatuma voucher,den mi najifany sijaona ile credit den nam-bip akipiga,ananiomba msamaha kwa usumbufu!SI KING'ANG'ANIZI,CHEZEYA MIMI WEYE
Mmmmmhhh unamchuna sio? Tena kavukavu bila kilainishio?
Bila voucher ataongeaje na wewe
@ rose wanaume a zamani ni vibabu nini ambavyo vimetelekeza familia zao
ahh jaman mbona wanaume mnalalama sana?
kavocha tu?
bado mariedo apo
bado kawese km ana vtz
bado niongeze m3 ya kod ya nyumba
na ada ya dogo imepungua laki 9
WANAUME WA ZAMAN AHH WANATOA YOTE AYO BILA ATA KULALAMA...kwanza USIPOMWOMBA NAKWAMBIA INAKUWA UGOMVI MKUBWA.. VP MBONA AUNIOMB ELA?KUNA MTU ANAKUPA? ahh skuizi ukijifanya UNADUMISHA penzi kwa kuomba ela UNAKIMBIWA haha ahah mimi apana elewa kabsaaaaaaaaa......JAMAN NYIE WAUME TOEEEEEEEEEEEEEN toeeen na mungu anawwaona...hazina yenu ni kubwa mbinguni.....:smile-big: m not ready for battle:nono: peac kwa waongaji wooote:rockon:
Kweli bana wamezidi, wengine kwenye date wanakuja na kalkuleta bana. Wanakuchuna kwa kutumia logarizm.