Hakuna kitu kinachoniuma kama kuitwa mzee

Hakuna kitu kinachoniuma kama kuitwa mzee

Kuboma

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
1,466
Reaction score
2,580
Nemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
 
Nemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
Sasa uko na 51 yrs, badala ya kumshukuru Mungu kufika uzee wewe unakufuru.
Mzee kaa utulie hao mabinti wape hela wakuite baby.
 
Nemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
Unataka uitwe nani Braza
 
Nemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
khaaa!,makubwa haya.
 
Yaani
Unataka uitwe nani Braza
Ni
We mzee vp.. uliruka steji inaonekana
Da nimekula bata balaa kijani ukitegemea nilikuwa mtu siyo wa kutafutia sehemu moja,enzi zetu shule hazikuwa kipaumbele kivile maisha yalikuwa kijana kuondoka kwa wazazi kwenda kujitafuti
Imagine miaka 18 unaishi peke yako tena inchi za watu na unakila kitu,kizuri sikujiingiza kwenye madawa ya kulevya na inchi nilizokuwa natafutia zilikuwa hazijaasirika na maambukizi ya ukimwi kama ilivyo sasa hivi,kumbuka kipindi hicho hakukuwa na dawa
 
Kula vizuri kunywa vizuri pendeza , halafu tafuta pesa polepole , ya ngoswe mwachie ngoswe
Mbona hivyo vitu vya kawaida nilijiwekea mizizi mizuri katika biashara zangu,sema bado inakuja ile hamu ya kutaka kwenda Club au beach lakini unaona umri umeenda,na mda mwingi nimeishi inje sasa najikuta sina utamaduni wa kujichanganya kama ilivyo hapa kwetu Tanzania
 
Mbona hivyo vitu vya kawaida nilijiwekea mizizi mizuri katika biashara zangu,sema bado inakuja ile hamu ya kutaka kwenda Club au beach lakini unaona umri umeenda,na mda mwingi nimeishi inje sasa najikuta sina utamaduni wa kujichanganya kama ilivyo hapa kwetu Tanzania
Endelea kuumia kuitwa mzee, wakati mimi watoto wa 2005 wananiita baby , utajua haujui😊
 
Back
Top Bottom