Umekula kitimoto yenye funza sio bureMi nimetoa hoja jibuni kwa hoja ninyi wanachama wa cdm wa kwenye jf na fb..lakini kwenye kura mnakuwa mko kwenye bar mnakunywa beer kura hampigi ndo mtakishinda chadema...cdm wanataka ongoza nchi wameachia waongoze majiji matatu lakini hakuna kitu kazi kugombania kupanda gari ya meya tu na majungu basi..wenzeni cc wanazidi tekeleza ahadi na leo gari moshi limeanza jijini dar es salaam, huku kwetu kilombero daraja tayari naona linaanzwa jengwa...
we kweli CHIPUO nchi i mikononi mwa nani sasa kuto kuwa na maendeleo analaumiwa nani? ndocha kweli wewe wenzio wanachapana humo.oooh we kuamshwa tu GIZANI umengangania usichokijua.MACHO HUONI (giza) hata kwa mikono huisi hicho nini? nyanya kweli ni nyanya hata uipake rangi.Binafsi sio kama hiki chama kinaweza ongoza nchi hii..kwanza ni chama ambacho kinaonekana ni kijikundi tu cha watu wawili watatu na sio taasisi ya kichama cha siasa.... Tumewapa jiji la mwanza limewashinda ,arusha limewashinda na moshi sasa nalo linawashinda ..sasa nawaza je wakipewa nchi hii wataweza..
nikikiangalia hiki chama naona kama ni ng'o ya watu fulani tu....sio taasisi ya kuangoza nchii hii
,,,,Chadema ni NGO.
Mi nimetoa hoja jibuni kwa hoja ninyi wanachama wa cdm wa kwenye jf na fb..lakini kwenye kura mnakuwa mko kwenye bar mnakunywa beer kura hampigi ndo mtakishinda chadema...cdm wanataka ongoza nchi wameachia waongoze majiji matatu lakini hakuna kitu kazi kugombania kupanda gari ya meya tu na majungu basi..wenzeni cc wanazidi tekeleza ahadi na leo gari moshi limeanza jijini dar es salaam, huku kwetu kilombero daraja tayari naona linaanzwa jengwa...
odee ode nsarie mae, kwani hajui awazaloKweli huna tofauti na mulugo-tanganyika is affiliated from zimbabwe and pemba islanda kwikwikwikwikwi kwani TANU siikianza jama CDM mbona iliweza,wacha waweze wasiweze potelea mbali kwani CCM mama na baba yetu kwete ne efoo kitangama kya nsire
chadema ni ngo na ccm ni chama cha majambazi,kaaazi kwelikweliChadema ni NGO.
Chadema ni NGO.
Binafsi sio kama hiki chama kinaweza ongoza nchi hii..kwanza ni chama ambacho kinaonekana ni kijikundi tu cha watu wawili watatu na sio taasisi ya kichama cha siasa.... Tumewapa jiji la mwanza limewashinda ,arusha limewashinda na moshi sasa nalo linawashinda ..sasa nawaza je wakipewa nchi hii wataweza..<br>nikikiangalia hiki chama naona kama ni ng'o ya watu fulani tu....sio taasisi ya kuangoza nchii hii
Binafsi sio kama hiki chama kinaweza ongoza nchi hii..kwanza ni chama ambacho kinaonekana ni kijikundi tu cha watu wawili watatu na sio taasisi ya kichama cha siasa.... Tumewapa jiji la mwanza limewashinda ,arusha limewashinda na moshi sasa nalo linawashinda ..sasa nawaza je wakipewa nchi hii wataweza..<br>nikikiangalia hiki chama naona kama ni ng'o ya watu fulani tu....sio taasisi ya kuangoza nchii hii
Binafsi sio kama hiki chama kinaweza ongoza nchi hii..kwanza ni chama ambacho kinaonekana ni kijikundi tu cha watu wawili watatu na sio taasisi ya kichama cha siasa.... Tumewapa jiji la mwanza limewashinda ,arusha limewashinda na moshi sasa nalo linawashinda ..sasa nawaza je wakipewa nchi hii wataweza..<br>nikikiangalia hiki chama naona kama ni ng'o ya watu fulani tu....sio taasisi ya kuangoza nchii hii