mamgo Bora waambie ukiwaeleza wabishi mana chama hakina hata viongozi wa vitongoji utapateje ushindi kwa tz ninyi cdm....wamebaki kila kampeni kala mara arusha moshi na mwanza ... Sasa hiyo akili na majigambo ya kusema mtachukua nchi kwa sanduku la kura mtachukuaje wakati chama chenyewe anacho slaa mbowe ofisini dar es salaam?.. Hata dar penyewe hata viongozi wa cdm kwenye vitongoji hakuna......... Cdm ni kama ng'o ya babu slaa....namuunga mkono mtoa mada bado chadema ni kajitaasis tu kalikoonea sehem moja ya nchi yaani kaskazini kusin hawasikiki
tutawapaje nchi wakati hawaenea vya kutosha wao hawana plan wanakazana na sehem wanazokubalika sehem nyingine wanaogopa kwenda
kwa hiyo bado sana cdm kuongoza nchi
kakojoe ulale...
watanzania wangapi hao?wengi wa watanzania bado wanaimani na ccm na matokeo ya udiwani ya 28/10/2012 yamethibitisha... Viongozi wote wa cdm wamezunguka kupiga kampeni lakini wapi viti 5 tu, kati ya 29.... Ninyi tu cdm wawili watatu wa jf.
Sisi bado tunaamani kubwa na serikali ya ccm kama hutaki kanywe sumu..... Na ahadi tunatekelezewa.