tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,008
- 1,949
Bandiko murua kabisa, shukrani sana kwa kutukumbusha mambo ya muhimu
Ni haki hao wewe kuwasaidia màana wa wazazi wako walikula faida kabla ya faidaAlafu usidhani WANAOMBA msaada..ni WANADAI as if ni legal right yao.. na wanakuhukumu kwa kiwango cha msaada unaowapa! Sawa tusaidiane ila tukumbuke kua mtoa msaada naye ana MALENGO na NDOTO zake!
Basi utakuwa unafanya kazi sehemu fulani. Njoo kwa wanaume huku. Sema hatuna sura za mama zetu. Unakaribishwa kama hujapata mume

usidandie basi kwa mbele ndugu. Pitia upya mada zangu ujiridhishe kama kuna sehemu nimeongelea kuhonga mpenzi. Inaonekana na wewe ni walewale wajinga wajinga.Akili yako inaonekana haina uwezo wa ku-connect kabisa. Mtu kuhonga mpenzi wake unalinganishaje na kumsaidia mzazi wake?
Kuna wababa wengine sijui Vipi Yani anathubutu kumtelekeza m(wa)toto mazima!
Yani mtoto hadi anamaliza Chuo kikuu na kuanza kazi baba hajui mwanae alikuwa anakula nini, anavaa nini na kuishi wapi, Hata ndala hajawahi mnunulia mtoto kitu chochote chenye thamani Hata ndala hajawahi mnunulia mtoto Hata mia hajawahi mpa mwanae!
Imagine?!
Halafu hapo baba aje Juu kudai matunzo?
Kila penye haki hapakosi kuwa na wajibu na maranyingi wajibu huanza kisha ndo haki!
Imeandikwa " laana isiyo na sababu haimpati Mtu "