Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

Hii mada ukiisoma vizuri utaielewa. Kama wewe ni Baba kwa sasa isome tena huenda ukaelewa mantiki ya mtoa post
Mada nimeielewa vizuri.

Kama unao uwezo wa kuwasaidia wazazi wako wasaidie
Kama kipato chako kinakutosha wewe na familia yako tu, basi waheshimu na uwaoneshe upendo
Asilimia kubwa ya wenye vipato na wenye elimu hawakufika hapo kimiujiza tu!
Wapo wazazi waliouza mifugo yao, mashamba na wengine waliokuwa na akiba kidogo walifunga mikanda na kuwasomesha.

Wazazi wetu walishindwa kununua hata pikipiki ya kuendea shamba kwa sababu ili kutusomesha wakiwa na mawazo ya kuja kufarijiwa na watoto wao uzeeni nyie mnasema wapambane na hali zao kweli?

Wazazi wetu wangeamua kufanya starehe kwa kutumia hizo pesa kidogo walizotusomesha nazo leo hii tungekuwaje?

Alafu muelewe sio kwamba nyinyi ndio wenye uwezo wa kuwasaidia pindi mnapopata ajira bali hata nyinyi mkiyumba mnakimbilia kwao

Maisha ni kuwa nayo makini tu maana hatujui kesho itazaa nini
 
Mada nimeielewa vizuri.

Kama unao uwezo wa kuwasaidia wazazi wako wasaidie
Kama kipato chako kinakutosha wewe na familia yako tu, basi waheshimu na uwaoneshe upendo
Asilimia kubwa ya wenye vipato na wenye elimu hawakufika hapo kimiujiza tu!
Wapo wazazi waliouza mifugo yao, mashamba na wengine waliokuwa na akiba kidogo walifunga mikanda na kuwasomesha.

Wazazi wetu walishindwa kununua hata pikipiki ya kuendea shamba kwa sababu ili kutusomesha wakiwa na mawazo ya kuja kufarijiwa na watoto wao uzeeni nyie mnasema wapambane na hali zao kweli?

Wazazi wetu wangeamua kufanya starehe kwa kutumia hizo pesa kidogo walizotusomesha nazo leo hii tungekuwaje?

Alafu muelewe sio kwamba nyinyi ndio wenye uwezo wa kuwasaidia pindi mnapopata ajira bali hata nyinyi mkiyumba mnakimbilia kwao

Maisha ni kuwa nayo makini tu maana hatujui kesho itazaa nini


Wazazi lazima wasaidiwe bila kujali walikosea wapi. Ila sisi wababa wasasa hivi hii mada inatuhusu sana. Huko tuendako ni kugumu mno. Ni aibu kumtegemea mtoto kwa karne hii
 
Mleta mada nimemuelewa sana, nimeelewa kwamba watoto hatujazuiwa kuwasaidia wazazi wetu, ila tumekumbushwa sisi wazazi vijana ni muhimu kuwekeza kwaajili ya uzee wetu, tusijiandae kuwategemea watoto kwa kufuja Mali zetu. Nadhan hii ipo vizuri na ni sahihi
 
Ni kweli.
Tuendako ni kigumu sio kwa sababu wanetu hawatataka kutusaidia bali ni changamoto za maisha yao zitakuwa nyingi kuliko sisi

Na janga kubwa sana ni msongo wa mawazo utakaoikumba jamii yetu kwa kiasi kikubwa
Wazazi lazima wasaidiwe bila kujali walikosea wapi. Ila sisi wababa wasasa hivi hii mada inatuhusu sana. Huko tuendako ni kugumu mno. Ni aibu kumtegemea mtoto kwa karne hii
 
Mleta mada nimemuelewa sana, nimeelewa kwamba watoto hatujazuiwa kuwasaidia wazazi wetu, ila tumekumbushwa sisi wazazi vijana ni muhimu kuwekeza kwaajili ya uzee wetu, tusijiandae kuwategemea watoto kwa kufuja Mali zetu. Nadhan hii ipo vizuri na ni sahihi


Wewe umenipata kisawa sawa. Ni ujinga kijana kukimbizana na escape one, Sijui Simu za gharama na migari ya isiyo na mikakati badala ya kuwekeza alafu akianza maisha(uzee ukimfika) asumbue watu. Watu wanadhani hizi nguvu za ujana tulipewa bure na zitadumu daima kumbe sio
 
Ni kweli.
Tuendako ni kigumu sio kwa sababu wanetu hawatataka kutusaidia bali ni changamoto za maisha yao zitakuwa nyingi kuliko sisi

Na janga kubwa sana ni msongo wa mawazo utakaoikumba jamii yetu kwa kiasi kikubwa


Na hapo ndio tutawaona wabaya kumbe sisi ndio tulikuwa wabaya zaidi. Mtu atataka amsaidie mzazi wake lakini akicheki mke na watoto wanamtegemea alafu wazazi nao wanadai. Jamani tujitahidini kwa kweli. Tuwe na huruma kwa kizazi chetu kijacho
 
Ni kweli.
Tuendako ni kigumu sio kwa sababu wanetu hawatataka kutusaidia bali ni changamoto za maisha yao zitakuwa nyingi kuliko sisi

Na janga kubwa sana ni msongo wa mawazo utakaoikumba jamii yetu kwa kiasi kikubwa
Si kweli na nina pinga vikali!
Kila kitu kinakuja na mbinu zake, acha uvivu wa ubunifu wa mbinu mbali mbali za maendeleo walahi!
Aamka kijana mdogo na ujue kila unacho kiwaza kitakupata wewe na uzao wako tu walahi!
 
Haya masuala ya extended family yanaleta sana umaskini. Umepata kikazi utaona ndugu, jamaa .mpaka wazazi wanakutegemea. Unahangaika nao ukija kushtuka huna ulichofanya. Baadae wanaanza kukucheka .mara jamaa alikua na kazi nzuri hana kitu. Shida sana
Fact mkuu
 
Nina elewa kwa nini nchi zinazo endelea kuna elderly homes!
Mambo ya kukaa na kumtegemea mtoto ni mabaya sana sana walahi!


Serikali inapaswa iliangalie hili
 
Pia hata sisi kama tunao uwezo wa kuwapiga tafu watoto wetu sio mbaya
Hata kwa wajukuu zetu kama tutakuwa na huo uwezo

Na kama ukifikiri kwa makini utagundua hata wazazi wetu walitamani sana na kujitahidi ili hata tukija kukwama kimaisha watusaidie
Na hapo ndio tutawaona wabaya kumbe sisi ndio tulikuwa wabaya zaidi. Mtu atataka amsaidie mzazi wake lakini akicheki mke na watoto wanamtegemea alafu wazazi nao wanadai. Jamani tujitahidini kwa kweli. Tuwe na huruma kwa kizazi chetu kijacho
 
Mtoa mada asante mkuu uko vzr..! Kupitia hii mada nimegundua kuna watu wako smart sana... Nasikitika baadhi wana ufikiri hafifu.... Thnx to God Ujumbe umefika panapohusika
 
Back
Top Bottom