Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

Hii mada inamkanganyika wa
_Dini
–Utegemezi wa kiuchumi
_malezi ya wazazi

Hii mada ni mzuri na inalengo la kukumbusha sisi kuwekeza mapema kwenye maisha ili uko mbeleni tusiwasumbue watoto zetu.

Mimi muislam na kutokana na uislam unahusia kuwafanyia wema wazazi, jambo hili ni pana ila moja ya kipengere kitachoingia hapa kuwajari kiuchumi. Sasa hii mada haipingi mafundisho haya kwasababu hii mada inahusia baba sisi wa kesho kwasababu bora kukumbushwa sasahivi kuliko kesho ambapo tushakuwa wazee itakuwa fedhea.

NB: hii mada ijasema usimtendee wema mzazi wako ila sisi wazazi wakesho tujijenge ili baadae watoto wetu wasitaabike.


Wewe Umenielewa. Mantiki ya Mada si kuwatukana wazazi wetu. Bali ni kuwatukana/Kujitukana sisi Wababa wa sasa ambao ni vijana tunaopaswa kujijenga ili tusiwasumbue watoto. Embu fikiria mtu Analewa pombe, anatumbua pesa na malaya mjini alafu, hajawekeza. Nini kinakufanya uogope kumuita ni Mjinga. Woga ni kitu kibaya
 
Bora uwaambie maana siku hizi wamekuwa mafurushi.


LUKA 15
11 Akasema, Mtu mmoja alikuwa na wana wawili;
12 yule mdogo akamwambia babaye, Baba, nipe sehemu ya mali inayoniangukia. Akawagawia vitu vyake.
13 Hata baada ya siku si nyingi, yule mdogo akakusanya vyote, akasafiri kwenda nchi ya mbali; akatapanya mali zake huko kwa maisha ya uasherati.
14 Alipokuwa amekwisha tumia vyote, njaa kuu iliingia nchi ile, yeye naye akaanza kuhitaji.
15 Akaenda akashikamana na mwenyeji mmoja wa nchi ile; naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe.
16 Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.
17 Alipozingatia moyoni mwake, alisema, Ni watumishi wangapi wa baba yangu wanaokula chakula na kusaza, na mimi hapa ninakufa kwa njaa.
18 Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
19 sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.
20 Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa angali mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu sana.
21 Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili kuitwa mwana wako tena.
22 Lakini baba aliwaambia watumwa wake, Lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike; mtieni na pete kidoleni, na viatu miguuni;
23 mleteni ndama yule aliyenona mkamchinje; nasi tule na kufurahi;
24 kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.
25 Basi, yule mwanawe mkubwa alikuwako shamba na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, alisikia sauti ya nyimbo na machezo.
26 Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?
27 Akamwambia, Ndugu yako amekuja, na baba yako amemchinja ndama aliyenona, kwa sababu amempata tena, yu mzima.
28 Akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi babaye alitoka nje, akamsihi.
29 Akamjibu baba yake, akasema, Tazama, mimi nimekutumikia miaka mingapi hii, wala sijakosa amri yako wakati wo wote, lakini hujanipa mimi mwana-mbuzi, nifanye furaha na rafiki zang
 
Umetukana wazazi mzee..

This is gonna retaliate and hit u back ..
You have cursed..

Boy u better apologise. You could use a fair language.

Anyway.


Kama upo vizuri kichwani naomba unipe maudhui makubwa matatu ya maandiko haya:
Luka 15
11 Akasema, Mtu mmoja alikuwa na wana wawili;
12 yule mdogo akamwambia babaye, Baba, nipe sehemu ya mali inayoniangukia. Akawagawia vitu vyake.
13 Hata baada ya siku si nyingi, yule mdogo akakusanya vyote, akasafiri kwenda nchi ya mbali; akatapanya mali zake huko kwa maisha ya uasherati.
14 Alipokuwa amekwisha tumia vyote, njaa kuu iliingia nchi ile, yeye naye akaanza kuhitaji.
15 Akaenda akashikamana na mwenyeji mmoja wa nchi ile; naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe.
16 Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.
17 Alipozingatia moyoni mwake, alisema, Ni watumishi wangapi wa baba yangu wanaokula chakula na kusaza, na mimi hapa ninakufa kwa njaa.
18 Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
19 sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.
20 Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa angali mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu sana.
21 Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili kuitwa mwana wako tena.
22 Lakini baba aliwaambia watumwa wake, Lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike; mtieni na pete kidoleni, na viatu miguuni;
23 mleteni ndama yule aliyenona mkamchinje; nasi tule na kufurahi;
24 kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.
25 Basi, yule mwanawe mkubwa alikuwako shamba na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, alisikia sauti ya nyimbo na machezo.
26 Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?
27 Akamwambia, Ndugu yako amekuja, na baba yako amemchinja ndama aliyenona, kwa sababu amempata tena, yu mzima.
28 Akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi babaye alitoka nje, akamsihi.
29 Akamjibu baba yake, akasema, Tazama, mimi nimekutumikia miaka mingapi hii, wala sijakosa amri yako wakati wo wote, lakini hujanipa mimi mwana-mbuzi, nifanye furaha na rafiki zangu;
 
Context:
Elimu na hali ya uchumi.

Kwa ufupi kabisa. Wazazi wa sasa wanatutegemea kwa kuwa maisha ya wakati huo wengi hawakuwa wameenda shule. Hawana pensheni.

Ni laana kwa kijana wa sasa kuja kuwategemea wanae. Ila kwa wazazi wetu..tuwalee tu tena kwa upendo wote. Tuwatunze na kuwapa mahitaji kadri ya tunavyoweza.
 
Context:
Elimu na hali ya uchumi.

Kwa ufupi kabisa. Wazazi wa sasa wanatutegemea kwa kuwa maisha ya wakati huo wengi hawakuwa wameenda shule. Hawana pensheni.

Ni laana kwa kijana wa sasa kuja kuwategemea wanae. Ila kwa wazazi wetu..tuwalee tu tena kwa upendo wote. Tuwatunze na kuwapa mahitaji kadri ya tunavyoweza.


Sahihi kabisa Mkuu. Hii mada inatuhusu sisi na si waliopita.
 
Context:
Elimu na hali ya uchumi.

Kwa ufupi kabisa. Wazazi wa sasa wanatutegemea kwa kuwa maisha ya wakati huo wengi hawakuwa wameenda shule. Hawana pensheni.

Ni laana kwa kijana wa sasa kuja kuwategemea wanae. Ila kwa wazazi wetu..tuwalee tu tena kwa upendo wote. Tuwatunze na kuwapa mahitaji kadri ya tunavyoweza.
Nakuunga mkono. Kazi ni kwetu sisi wa sasa kuvunja mnyororo wa utegemezi wa wazazi kwa watoto.
 
Kama mie Baba ananitegemea balaa na ndo huyuhuyu kuna muda aligoma kutoa Ada nisome kisa amekorofishana na mama.
 
Mkuu Baba ni mfano wa Mungu. Anapooa tayari anajua Mke wake atakula nini, atavaa nini na mambo mengine. Atakapo hitaji watoto tayari ameshajiseti kuwa hao watoto wataishi vipi iwe kwa kula, kuvaa na mambo mengine. Mzazi kuzaa watoto wengi si kigezo cha yeye kuwategemea watoto wake uzeeni kiuchumi.

Hata Mungu kabla hajakuumba amekuwekea Fursa nyingi ili ukizaliwa unaamua ufanye ipi. Ukiamua kuwa mkulima utajua mwenyewe, ukiamua kuwa mwindaji, mfugaji, mhubiri, mfanyabiashara ni wewe tuu. Embu fikiria kama Mungu angetuumba bila kuwepo Ardhi unafikri maisha yangekuwaje? Bila kuwepo maji. Mungu ni Baba anayetutegemea katika kusimamia huu mradi wake hapa duniani. Hahitaji chochote zaidi ya usimamizi mzuri. Ndivyo hata sisi tunavyotakiwa kufanya kama Baba huku duniani. Tuandae miradi mingi kusudi watoto na wajukuu waamue nini wafanye kupitia miradi ya Baba yao('wewe/mimi).
Yaani unatuambia mtoto ana haki kula Mali ya baba Lakini baba Hana haki kula Mali ya mtoto? Hapana aisee SIKUBALIANI NA WEWE
 
Kwa mtazamo wangu,

Hua ni msomaji wa vitabu vyote ninavopata vya dini, kuanzia Biblia, Quran, Torah (torat) na hata vya Monks. Na ni mpenzi wa vitabu vya falsafa na siasa.

Nashukuru kwa kunisaidia mwandishi kwa kuweka vipande vya Biblia katika uzi wako.

Ningependa kuwakumbusha haya machache ambayo niliyakuta katika Quran kuhusu wazazi (Yani Baba Na Mama)

Sura ya 17: 23... Inasema hivi "Na mungu wenu amewa amrisha msimuabudu yoyote isipokua yeye tu, na fanyeni wema kwa WAZAZI wenu. Na kama mmoja ama wote wawili (WAZAZI) wamefikia umri wa UZEE (wamezeeka) basi msi wasimange na wala msi wakemee kwa hasira, wala msiwaambie aaarghh, ongeeni nao kwa wema na upole"


Mama kakubeba miezi 9 kwa shida tumboni mwake, na kakuzaa kwa machungu makali sana, Baba kakulea kwa shida mpaka umekua mtu mzima (pengine kakusomesha mpaka chuo).

Sasa, hizi ndio fadhila za mema waliotufanyia wazazi toka tulipokua wadogo, tuwalipe kwa kuwaita majina machafu kama hili la "BABA JINGA" ????????
hata Mimi SIKUBALIANI naye huyu haiwezekani watoto wasipowaangalia wazee alitaka Nani awatizame hapa ndio utaona tofauti ya dini ya kweli Na dini batili
 
Sikuwahi Acha msaidia mkuu,nimeandika hiv ili kuonesha ni namna gn watoto huwa tunapata mitihan


Hii hupelekea na wewe kushindwa kujimudu na kuwa stable hasa kipindi hichi ambacho hata kama umeenda shule bado unahali ngumu tuu kama ambaye hajaenda
 
Back
Top Bottom