DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,635
- 81,535
Nini maana dini - Dini ni utamaduni wa eneo fulani.
Je dini zinafundisha ukweli , ?
Hakuna dini yoyote yenye mafundisho ya kweli. Ila ni hadithi , na kawaida ya hadithi waweza pata kitu cha kujifunza chanya au hasi.
Bibilia na Quruan - hivi vitabu vimeandikwa na watu havina uhusiano na Mungu.
Hii dunia Ina miaka 2000s ya kuhesabu Ila kiuhalisia hii dunia Ina miaka mingi inayozidi 2000s
Maarifa uliyonayo yapo ya aina tatu
-Kufundishwa
-mambo uliyoyapitia
-mambo waliopitia watu
Kwahiyo unaweza Ku -gain new experience in life kupitia mapito yako , au mapito ya watu au kujifunza.
Mvurugano uliopo hapa duniani ni kwamba watu wachache wajinga wameamua kuwaongoza watu wengi wajinga .
Ukiona watu wanabishana kuhusu dini fahamu hao watu ni wajinga na hawajitambui.
Kuwa MTU mwema na MTU safi haina uhusiano na dini.
Kule Bukoba Bibi zetu na Babu they never worship anywhere Ila walikuwa wakiomba Nature inawapa wanachohitaji .
So universe is real , God is real but not religions.
Ikiwa unaacha tamaduni zako unafata tamaduni za watu lazima utadanganywa kuhusu miujiza ya kupokea Gari na Gas.
Maisha ya hapa duniani yamekuwa overrated watu wanajichosha Sana kuamini miujiza ya uongo sijui kwenda kwa waganga at the end Kama utaishi Sana ni 70-100 yrs so ni ujinga to chase nothing.
Je dini zinafundisha ukweli , ?
Hakuna dini yoyote yenye mafundisho ya kweli. Ila ni hadithi , na kawaida ya hadithi waweza pata kitu cha kujifunza chanya au hasi.
Bibilia na Quruan - hivi vitabu vimeandikwa na watu havina uhusiano na Mungu.
Hii dunia Ina miaka 2000s ya kuhesabu Ila kiuhalisia hii dunia Ina miaka mingi inayozidi 2000s
Maarifa uliyonayo yapo ya aina tatu
-Kufundishwa
-mambo uliyoyapitia
-mambo waliopitia watu
Kwahiyo unaweza Ku -gain new experience in life kupitia mapito yako , au mapito ya watu au kujifunza.
Mvurugano uliopo hapa duniani ni kwamba watu wachache wajinga wameamua kuwaongoza watu wengi wajinga .
Ukiona watu wanabishana kuhusu dini fahamu hao watu ni wajinga na hawajitambui.
Kuwa MTU mwema na MTU safi haina uhusiano na dini.
Kule Bukoba Bibi zetu na Babu they never worship anywhere Ila walikuwa wakiomba Nature inawapa wanachohitaji .
So universe is real , God is real but not religions.
Ikiwa unaacha tamaduni zako unafata tamaduni za watu lazima utadanganywa kuhusu miujiza ya kupokea Gari na Gas.
Maisha ya hapa duniani yamekuwa overrated watu wanajichosha Sana kuamini miujiza ya uongo sijui kwenda kwa waganga at the end Kama utaishi Sana ni 70-100 yrs so ni ujinga to chase nothing.