Haki sawa

Haki sawa

hyo tabia inaonesha ulimzoesha tangu mwanzo, asingekuwa kichaa yeye wakukurupuka na kukufanyia hvyo... Mwanamke anaisoma tabia na msimamo wako pale mwanzon mnapooana na atafanya kila kitu kulingana na ww ulivyo mzoesha. Mwanamke sawa na mtoto wa miaka miwili mpaka mitano. Anafanya yale unayotaka ww

Hii research irudie tena brooo..
Nijuavyo Mimi mwanzoni wanajaribu kukutenga kisaikolojia na familia yako kisha kukufanya umsikilize kwa kila kitu asemacho na ukitende atakavyo. Thereafter reactions zako zinaweka mambo sawa na kuzoweana.
 
mwanamke atabaki kuwa mwanamke na majukum yake yanajulikana na mwanume vivyo hivyo hayo mengne ni kuhurumiana tu ila hapana ulazma

Ulazima upo mana hukuoa housegal
 
hapana hampo wengi
ni bahati sana kupata watu kama nyie possibility ni moja ya kumi waliojaaa huku ni aina ya mtoa mada

Utaibiwa kwa maneno matamu Wewe missnedy. Kuwa makini. Tofautisha maneno na vitendo.
 
mi nafikiri alihitaji housegirl, na siyo mke. mi namshauri ampe talaka halafu atafute hg.

Mercury ya nini? Mabinti wa Leo bana, lainiiii!!!! Na degree zenu za discussion ndo hamkamatiki mtaani. Ukiongeza na wakorea mmmmmh..... tunaishi maisha mseto. Hatuna letu , yote ya kuiga.
 
Juzi ilikuwa pasaka jamani, hapakuwa na ofisi wala chochote. Kupika kg. 1 ya mchele na nusu ya nyama inahitaji kusaidiwa??? Mazingira ya kusaudiwa yako wazi kbs na hayana utata. Wewe unachotetea ktk scenario hii ni nini hasa? Mrsleo.

Bwana usitudanganye mtu hawez kukununia kisa kupika wali na nyama itakuwa kuna mengine may be toka jana yake alifanya sana kazi akaamka amechoka ww umeshindwa hata kumsaidia kwenda buchani kununua nyama au basi yy apike ww osha vyombo pia hukutaka
 
Uzuri mm mume wangu alinielewa ni mtu wa aina gani toka hajanioa na ckuwahi ku pretend chochote i was really toka mwanzo akaridhika na mm akaniweka ndani hyo imefanya maisha yetu yawe rahisi mana hatuna surprises za tabia

Kwa hali uliyonayo jitayarishe kwa mshangazo (surprises). Kama umeshindwa kutunza nyumba mkiwa wawili, nina wasiwasi utaweza kuitunza familia ikiongezeka. Nina wasiwasi huyo msaidizi anafanya kila kitu, hata usafi wa "mazingira yako na mumeo" na hiyo ni sumu katika ndoa yako. Haijalishi uwezo mlionao, majukum yaliyopo. Ni muhimu kuwa mama wa nyumba, ni lazima kuongoza nyumba yako...sasa kama unamuachia msaidizi mapema hivi...sijui
 
Bwana usitudanganye mtu hawez kukununia kisa kupika wali na nyama itakuwa kuna mengine may be toka jana yake alifanya sana kazi akaamka amechoka ww umeshindwa hata kumsaidia kwenda buchani kununua nyama au basi yy apike ww osha vyombo pia hukutaka

Akiugua sawa ntaosha....
Km amechoka apumzike kisha akipata ahueni ataosha. Hapa sio jera wala kwa bepari(hakuna deadline).
 
Kwa hali uliyonayo jitayarishe kwa mshangazo (surprises). Kama umeshindwa kutunza nyumba mkiwa wawili, nina wasiwasi utaweza kuitunza familia ikiongezeka. Nina wasiwasi huyo msaidizi anafanya kila kitu, hata usafi wa "mazingira yako na mumeo" na hiyo ni sumu katika ndoa yako. Haijalishi uwezo mlionao, majukum yaliyopo. Ni muhimu kuwa mama wa nyumba, ni lazima kuongoza nyumba yako...sasa kama unamuachia msaidizi mapema hivi...sijui

Am not stupid as u think
 
Back
Top Bottom