Haki sawa

Haki sawa

Dunia imebadilika kila upande tatizo mnaangalia upande wa wanawake tu, hao bibi zetu kwani walienda shule au walikuwa wanaenda maofisin? Walilelewa mazingira ya kwamba ukikuwa kazi ni moja tu kuolewa, kuzaa na kumtumikia mumeo, ila mabadiliki ya maisha yamefanya sasahv hatulelewi hvyo tena kwani priority ya kwanza ya mtoto wa kike au kiume ni elimu kwanza, then kazi au biashara hayo yaliyobakia ya kaz za ndani ni ziada. Mm nilivyolelewa kwetu tupo watoto 4 wasichana wawili na wanaume wawili kabla ya wazazi kuleta msichana wa kazi wote tulikuwa na zamu ya kufanya kaz za ndani kuanzia usafi wa ndani hadi kupika na kuosha vyombo na tulizifanya kwa usawa hakukuwa na kazi hii ya wasichana hii ya wavulana, si usawa nilianza kuuona toka kwetu nikiwa mdogi

Kwahyo usawa nilianza kuuona kwetu toka nikiwa mdogo
 
Dunia imebadilika kila upande tatizo mnaangalia upande wa wanawake tu, hao bibi zetu kwani walienda shule au walikuwa wanaenda maofisin? Walilelewa mazingira ya kwamba ukikuwa kazi ni moja tu kuolewa, kuzaa na kumtumikia mumeo, ila mabadiliki ya maisha yamefanya sasahv hatulelewi hvyo tena kwani priority ya kwanza ya mtoto wa kike au kiume ni elimu kwanza, then kazi au biashara hayo yaliyobakia ya kaz za ndani ni ziada. Mm nilivyolelewa kwetu tupo watoto 4 wasichana wawili na wanaume wawili kabla ya wazazi kuleta msichana wa kazi wote tulikuwa na zamu ya kufanya kaz za ndani kuanzia usafi wa ndani hadi kupika na kuosha vyombo na tulizifanya kwa usawa hakukuwa na kazi hii ya wasichana hii ya wavulana, si usawa nilianza kuuona toka kwetu nikiwa mdogi

Saafi, ndio maana na Wewe umeletewa house girl.
 
Ndio maana nikasema malezi/makuzi yanatofautuana. Kwa nini nisiweze?? Baada ya ndoa ni wakati muafaka kuwa wawili ndani ya nyumba, kusaidiana shughuli ndogondogo za ndani. Sidhani kama kuna haja ya kuwa na msaidizi wakati mpo wawili tu, hata mimba bado hamna..

Kama unakubali kusaidiana ipo basi mshauri mwenzio awe anamsaidia mwenzie na kama hawez basi amuwekee msaidiz
 
Juzi ilikuwa pasaka jamani, hapakuwa na ofisi wala chochote. Kupika kg. 1 ya mchele na nusu ya nyama inahitaji kusaidiwa??? Mazingira ya kusaudiwa yako wazi kbs na hayana utata. Wewe unachotetea ktk scenario hii ni nini hasa? Mrsleo.
 
Saafi, ndio maana na Wewe umeletewa house girl.

Uzuri mm mume wangu alinielewa ni mtu wa aina gani toka hajanioa na ckuwahi ku pretend chochote i was really toka mwanzo akaridhika na mm akaniweka ndani hyo imefanya maisha yetu yawe rahisi mana hatuna surprises za tabia
 
Dunia imebadilika kila upande tatizo mnaangalia upande wa wanawake tu, hao bibi zetu kwani walienda shule au walikuwa wanaenda maofisin? Walilelewa mazingira ya kwamba ukikuwa kazi ni moja tu kuolewa, kuzaa na kumtumikia mumeo, ila mabadiliki ya maisha yamefanya sasahv hatulelewi hvyo tena kwani priority ya kwanza ya mtoto wa kike au kiume ni elimu kwanza, then kazi au biashara hayo yaliyobakia ya kaz za ndani ni ziada. Mm nilivyolelewa kwetu tupo watoto 4 wasichana wawili na wanaume wawili kabla ya wazazi kuleta msichana wa kazi wote tulikuwa na zamu ya kufanya kaz za ndani kuanzia usafi wa ndani hadi kupika na kuosha vyombo na tulizifanya kwa usawa hakukuwa na kazi hii ya wasichana hii ya wavulana, si usawa nilianza kuuona toka kwetu nikiwa mdogi

nyumban ni sawa na shulen/chuon. Yale mafunzo ni lazma mmepewe wote kwasababu wazaz wanajua ipo sku mtaish peke yenu bila wao kwahyo lazma muwe na uzoefu wa shugul mbalimbali. Lakin haikumaaaniha kuwa ndio ukawekeane zam na mumeo hata kama kuna ubusy wa kaz lakin lazma mwanamke ujitambue ww ni nani na majukumu yako ni yapi vivyo hvyo hata kwa mwanaume. Ukiona unachoka unatafuta mfanyakaz....... Kwetu mm kuambiwa kuosha vyombo au kupika ni dharau kubwa sana labda kama mke wangu anaumwa
 
nyumban ni sawa na shulen/chuon. Yale mafunzo ni lazma mmepewe wote kwasababu wazaz wanajua ipo sku mtaish peke yenu bila wao kwahyo lazma muwe na uzoefu wa shugul mbalimbali. Lakin haikumaaaniha kuwa ndio ukawekeane zam na mumeo hata kama kuna ubusy wa kaz lakin lazma mwanamke ujitambue ww ni nani na majukumu yako ni yapi vivyo hvyo hata kwa mwanaume. Ukiona unachoka unatafuta mfanyakaz....... Kwetu mm kuambiwa kuosha vyombo au kupika ni dharau kubwa sana labda kama mke wangu anaumwa

Kama umelelewa hvyo sikushangai kushindwa kumsaidia mkeo ila nilikotoka mm hakukuwa na kitu kinaitwa mwanaume akifanya kaz fulan ni dharau wote tulikuwa sawa
 
Juzi ilikuwa pasaka jamani, hapakuwa na ofisi wala chochote. Kupika kg. 1 ya mchele na nusu ya nyama inahitaji kusaidiwa??? Mazingira ya kusaudiwa yako wazi kbs na hayana utata. Wewe unachotetea ktk scenario hii ni nini hasa? Mrsleo.

hyo tabia inaonesha ulimzoesha tangu mwanzo, asingekuwa kichaa yeye wakukurupuka na kukufanyia hvyo... Mwanamke anaisoma tabia na msimamo wako pale mwanzon mnapooana na atafanya kila kitu kulingana na ww ulivyo mzoesha. Mwanamke sawa na mtoto wa miaka miwili mpaka mitano. Anafanya yale unayotaka ww
 
Kama umelelewa hvyo sikushangai kushindwa kumsaidia mkeo ila nilikotoka mm hakukuwa na kitu kinaitwa mwanaume akifanya kaz fulan ni dharau wote tulikuwa sawa

mwanamke atabaki kuwa mwanamke na majukum yake yanajulikana na mwanume vivyo hivyo hayo mengne ni kuhurumiana tu ila hapana ulazma
 
Kwanini nishindwe miss neddy? Hayo ndio maisha, na wala sio mimi tu ndio naishi ivo, wapo wengi

hapana hampo wengi
ni bahati sana kupata watu kama nyie possibility ni moja ya kumi waliojaaa huku ni aina ya mtoa mada
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom