Haki sawa

Haki sawa

Hii research irudie tena brooo..
Nijuavyo Mimi mwanzoni wanajaribu kukutenga kisaikolojia na familia yako kisha kukufanya umsikilize kwa kila kitu asemacho na ukitende atakavyo. Thereafter reactions zako zinaweka mambo sawa na kuzoweana.

hujanielewa au umeelewa tofauti.... Usipoonesha msimamo wako ww kuwa kipi hupendi na kipi unapenda na unataka afuate yapi yeye ataanza na haya: mfano anakuomba umsaidie kuosha vyombo na kufua nguo ww unakubali hapo anakunote, sku nyingne atakuomba umsaidie kupika ukikubali ananote,, baadaye tena anaanza kukubembeleza umsaidie kaz mbalimbali ww ukikubali ndio anakuteka hvyo... Kwasababu hujaonesha msimamo wako. Lakn mm binafsi sijawahi kununiwa kwasababu anajua msimamo alishapewa maelekezo kitambo
 
Ulazima upo mana hukuoa housegal

hahahaaaaa! Ukiona unachoka ni ww unatafuta housegirl mm kaz yangu ni kumlipa.... Na kuna wakat ntahitaji nile chakula ulichopika ww kama mke...... Msifanye dada wa ndani wawe suruhisho ndio maana mnapinduliwa madarakan
 
Kwa hali uliyonayo jitayarishe kwa mshangazo (surprises). Kama umeshindwa kutunza nyumba mkiwa wawili, nina wasiwasi utaweza kuitunza familia ikiongezeka. Nina wasiwasi huyo msaidizi anafanya kila kitu, hata usafi wa "mazingira yako na mumeo" na hiyo ni sumu katika ndoa yako. Haijalishi uwezo mlionao, majukum yaliyopo. Ni muhimu kuwa mama wa nyumba, ni lazima kuongoza nyumba yako...sasa kama unamuachia msaidizi mapema hivi...sijui

big up!....... Unajua wanamfanya dada wa nyumban ni suruhisho la majukum yake...... Kuna wakat mwanamke anatakiwa awajibike kama mke mwenye nyumba lakin kwa tabia hiz asishangae housegirl aka take pouse...
 
Am not stupid as u think

...Siwezi kukuita mjinga mrsleo, hayo umeyaleta wewe. Katika hoja, lazima tuangalie uwezekano wa mambo yote, leta hoja tuijadili ila siwezi kufikiri kuwa wewe ni mjinga!!
 
Last edited by a moderator:
Am not stupid as u think

mmmmh! Uspanik mkuu hapa tunajadiliana tu na kupeana elim ndogo. Kwasababu tumesoma vyuo tofauti na wakufunzi tofauti, wapo waliokulia mazingira ya kimayai, ya kidikteta, na ya kawaida....... Kama mm nilifundishwa hata kupika na kila kitu. Lakin nikawa napewa na muongozo wa majukum.... Ya mwanaume nikapewa na ya mwanamke nikapewa.
 
Kwa hali uliyonayo jitayarishe kwa mshangazo (surprises). Kama umeshindwa kutunza nyumba mkiwa wawili, nina wasiwasi utaweza kuitunza familia ikiongezeka. Nina wasiwasi huyo msaidizi anafanya kila kitu, hata usafi wa "mazingira yako na mumeo" na hiyo ni sumu katika ndoa yako. Haijalishi uwezo mlionao, majukum yaliyopo. Ni muhimu kuwa mama wa nyumba, ni lazima kuongoza nyumba yako...sasa kama unamuachia msaidizi mapema hivi...sijui

Kwa hoja hii umeongea as if unanijua lazma unefikiria mm ni mjinga kiasi hicho
 
mmmmh! Uspanik mkuu hapa tunajadiliana tu na kupeana elim ndogo. Kwasababu tumesoma vyuo tofauti na wakufunzi tofauti, wapo waliokulia mazingira ya kimayai, ya kidikteta, na ya kawaida....... Kama mm nilifundishwa hata kupika na kila kitu. Lakin nikawa napewa na muongozo wa majukum.... Ya mwanaume nikapewa na ya mwanamke nikapewa.

Wala cjapaniki ila hoja yake imenihukumu as if anayajua maisha ya ndani kwangu
 
Wala cjapaniki ila hoja yake imenihukumu as if anayajua maisha ya ndani kwangu
Sijatoa hukumu yoyote hapo, ni kutokana na hoja uliyoleta..ukihusisha maisha yako, mimi nimetoa assumption tu kuwa katika hali kama hiyo, uwe na tahadhari
.

mrsleo said:
Kwa hoja hii umeongea as if unanijua lazma unefikiria mm ni mjinga kiasi hicho
Sikujui, siwezi kukuita mjinga, ila tunajadili hoja
.kutokana na mazingira ya hoja uliyoleta, chill out mrsleo.
 
Last edited by a moderator:
Juzi ilikuwa pasaka jamani, hapakuwa na ofisi wala chochote. Kupika kg. 1 ya mchele na nusu ya nyama inahitaji kusaidiwa??? Mazingira ya kusaudiwa yako wazi kbs na hayana utata. Wewe unachotetea ktk scenario hii ni nini hasa? Mrsleo.

Hata kma isingekuwa pasaka wajibu wa mwanamke ni kupika na kuangalia familia na Usafi kukua kwa technolojia imeharibu watu na kuona ni haki or usawa ila tunajidanganya.

Mwanaume kusaidia kupo lakini sii kwa kuambiwa or kwa kulazimisha inakuja yenywe na inaleta upendo
Na mwanamke anayenuna sii mzuri kwa tabia.
 
Hata kma isingekuwa pasaka wajibu wa mwanamke ni kupika na kuangalia familia na Usafi kukua kwa technolojia imeharibu watu na kuona ni haki or usawa ila tunajidanganya.

Mwanaume kusaidia kupo lakini sii kwa kuambiwa or kwa kulazimisha inakuja yenywe na inaleta upendo
Na mwanamke anayenuna sii mzuri kwa tabia.
unayosema ni kweli na yaliwezekana kirahisi sana enzi hizo wanaume walipokuwa wana-play roles zao kama baba wa familia aka bread earners, na mke anakaa nyumbani. automatically, mama anajikuta anakuwa na role ya kutunza family.
waulize hawa wanaume wa siku hizi kama wanatimiza majukumu yao kama baba wa familia. wanataka mke akatafute hela, akitoka huko aje alee family. majukumu ya school fees, kununua chakula, ujenzi wagawane sawasawa na wake zao, ila ya nyumbani yabakie kuwa ya mke tu. waweza kuta mtoa mada hata hiyo hela ya nyama hakuitoa yeye, kaitoa mkewe
 
hujanielewa au umeelewa tofauti.... Usipoonesha msimamo wako ww kuwa kipi hupendi na kipi unapenda na unataka afuate yapi yeye ataanza na haya: mfano anakuomba umsaidie kuosha vyombo na kufua nguo ww unakubali hapo anakunote, sku nyingne atakuomba umsaidie kupika ukikubali ananote,, baadaye tena anaanza kukubembeleza umsaidie kaz mbalimbali ww ukikubali ndio anakuteka hvyo... Kwasababu hujaonesha msimamo wako. Lakn mm binafsi sijawahi kununiwa kwasababu anajua msimamo alishapewa maelekezo kitambo

There we are.....
 
Hata kma isingekuwa pasaka wajibu wa mwanamke ni kupika na kuangalia familia na Usafi kukua kwa technolojia imeharibu watu na kuona ni haki or usawa ila tunajidanganya.

Mwanaume kusaidia kupo lakini sii kwa kuambiwa or kwa kulazimisha inakuja yenywe na inaleta upendo
Na mwanamke anayenuna sii mzuri kwa tabia.

aisee!... Bora umeongea ukweli ambao wenzako wanaukwepa.. Nmekupenda buree
 
Hata kma isingekuwa pasaka wajibu wa mwanamke ni kupika na kuangalia familia na Usafi kukua kwa technolojia imeharibu watu na kuona ni haki or usawa ila tunajidanganya.

Mwanaume kusaidia kupo lakini sii kwa kuambiwa or kwa kulazimisha inakuja yenywe na inaleta upendo
Na mwanamke anayenuna sii mzuri kwa tabia.

I love you ICHANA. Well said.
 
unayosema ni kweli na yaliwezekana kirahisi sana enzi hizo wanaume walipokuwa wana-play roles zao kama baba wa familia aka bread earners, na mke anakaa nyumbani. automatically, mama anajikuta anakuwa na role ya kutunza family.
waulize hawa wanaume wa siku hizi kama wanatimiza majukumu yao kama baba wa familia. wanataka mke akatafute hela, akitoka huko aje alee family. majukumu ya school fees, kununua chakula, ujenzi wagawane sawasawa na wake zao, ila ya nyumbani yabakie kuwa ya mke tu. waweza kuta mtoa mada hata hiyo hela ya nyama hakuitoa yeye, kaitoa mkewe

Hahahaaaa..... group discussion zimewaharibu vyuoni. Hata thinking capacity ni ndogo kweli!!! Hope hujaolewa na nyumba ishakushinda mpaka hapo. Telecom Eng. Ninunuliwe nyama???? Heheheheeee.... I am always responsible.
 
Back
Top Bottom