Haki sawa

Haki sawa

Hahahaaaa..... group discussion zimewaharibu vyuoni. Hata thinking capacity ni ndogo kweli!!! Hope hujaolewa na nyumba ishakushinda mpaka hapo. Telecom Eng. Ninunuliwe nyama???? Heheheheeee.... I am always responsible.

ujue ndio maana ndoa nyingi znavunjika kwasababu ya hayo..... Mtu anajijua ni mwanamke na najua majukum yake halafu anakuja anabana pua et nimsaidie kupika ******* zima na kibao usoni nyamaf.... Kwa mtindo huo kwann housegirl na mchepuko wasichukue nafas
 
Hahahaaaa..... group discussion zimewaharibu vyuoni. Hata thinking capacity ni ndogo kweli!!! Hope hujaolewa na nyumba ishakushinda mpaka hapo. Telecom Eng. Ninunuliwe nyama???? Heheheheeee.... I am always responsible.

Duh! Telecom Eng. hongera kwa degree, ni ya kwanza nini mbona masifa kibao? anyway, kupitia thread yako, views zako khs family, na jinsi unavyomuelezea wife wako nimeiona jinsi thinking capacity yako ilivyo kubwa engineer

kwenye red! endelea kuhope kwamba sijaolewa na nyumba inanishinda

kwenye blue, to be a responsible husband is not a function of educational achievement/ profession.. Telecom Eng. has nothing to do with kununua nyama. Kuna watu hawana hata degree, lakini bado wananunua nyama.
 
ujue ndio maana ndoa nyingi znavunjika kwasababu ya hayo..... Mtu anajijua ni mwanamke na najua majukum yake halafu anakuja anabana pua et nimsaidie kupika ******* zima na kibao usoni nyamaf.... Kwa mtindo huo kwann housegirl na mchepuko wasichukue nafas

Kudharau majukumu na wajibu wao ndio kitanzi chao wenyewe. Watazinduka SAA kumi jioni.... mercury (hg) aweze kazi , kwa nini wao washindwe na wote ni wanawake?! Basi wakubali uke wenza.
 
unayosema ni kweli na yaliwezekana kirahisi sana enzi hizo wanaume walipokuwa wana-play roles zao kama baba wa familia aka bread earners, na mke anakaa nyumbani. automatically, mama anajikuta anakuwa na role ya kutunza family.
waulize hawa wanaume wa siku hizi kama wanatimiza majukumu yao kama baba wa familia. wanataka mke akatafute hela, akitoka huko aje alee family. majukumu ya school fees, kununua chakula, ujenzi wagawane sawasawa na wake zao, ila ya nyumbani yabakie kuwa ya mke tu. waweza kuta mtoa mada hata hiyo hela ya nyama hakuitoa yeye, kaitoa mkewe

ndo mana nikasema kukua kwa technolojia
REAL MAN MUST ACT AS FATHER ALWAYS.Mwanaume wa ukwel utategemeeje hela ya mwnamke jamni.lazima ajue wajibu wake kwa mkewe na kuitunza familia.mwanaume ukishaamua kuwa wenye mhusiano lazima ujue hela ya kula,kumtunza mke,watoto ,ujenzi,kuwekeza n.k kama hayo huwez ni aibu na itakufanya ukose kauli ndani ya nyumba na mwanamke atakudharau sana
mwanamke kumsaidia mumewe kwenye ujenzi au kuwekeza ni uamuzi wako SI LAZIMA ila ukisaidia italeta big impact in ur marrige kama tunavyona upendo waapotusaidia kazi home tumebdilika hatufanyi wajibu wetu ndo mna malalaiko hyaishi ndani ya nyumba
 
Duh! Telecom Eng. hongera kwa degree, ni ya kwanza nini mbona masifa kibao? anyway, kupitia thread yako, views zako khs family, na jinsi unavyomuelezea wife wako nimeiona jinsi thinking capacity yako ilivyo kubwa engineer

kwenye red! endelea kuhope kwamba sijaolewa na nyumba inanishinda

kwenye blue, to be a responsible husband is not a function of educational achievement/ profession.. Telecom Eng. has nothing to do with kununua nyama. Kuna watu hawana hata degree, lakini bado wananunua nyama.

Km umejua ivo, usingeweza sema Mke katoa ela ya nyama. Usidhani yanayotokea kwako basi na nyumba nyingine ni ivo.
Sihongi, sinywi pombe, sichangii harusi, sio mtu wa clubs n.k heheheheeee..... sina 7bu ya kushindwa kuihudumia familia yangu.
Thread yangu imelenga kupeana dondoo mhm za maisha na sio kudhalilisha mtu. Fasihi oyeeeee.. . .
 
Kudharau majukumu na wajibu wao ndio kitanzi chao wenyewe. Watazinduka SAA kumi jioni.... mercury (hg) aweze kazi , kwa nini wao washindwe na wote ni wanawake?! Basi wakubali uke wenza.

sasa hapo unanipeleka malkit mzee. Hyo mercury (hg) hata siijui. Wengne tumeishia la pili B
 
aisee!... Bora umeongea ukweli ambao wenzako wanaukwepa.. Nmekupenda buree

unajua sio watu hawajui ukweli bali tuwekuwa na tabia ya kubisha ukweli kutokana na mazingira/technolojia/elimu/dunia ya usawa na mengineyo

wanaume atabaki kuwa baba wa familia na yeye ndo kiongozi

wanamke ataheshimika kama mama wa familia siku zote

kila mtu akifanya wajibu wake heshima,upendo,kujali,uvumilivu malalamiko haukuna
ishu ndogo ya kupika ananuna.au mwanaume umtugemee mkeo akulishe while una nguvu zako???/
 
Heshima kwa ICHANA tuu..
(Wengi wanategemea makubwa bila kuwekeza). Kuwa HR mahali wanadhani wamebadilika jinsia). Shame upon them.
 

Attachments

  • 1398151197603.jpg
    1398151197603.jpg
    9.7 KB · Views: 66
Hii ni theory zaidi. Mtu anajenga tabia kati ya umri upi? Wadada wengi wasomi huolewa kuanzia miaka 26. Anajifunza nini kwa mume?

^^
Bahati mbaya ni kuwa, ni theory ambayo si ya darasani bali itokanayo na uzoefu.. Ukioa mwanamke yeyote, hesabu siku 23 za mwanzo wa ndoa yenu ndipo mwanamke hujipenyeza aendane na wewe! Na hapa ndipo mwanaume utafanya kosa kubwa au mwelekeo uupendao maisha yako yote. Acheni maisha ya tamthiliya mrejee katika uhalisia wetu.
^^
 
^^
Bahati mbaya ni kuwa, ni theory ambayo si ya darasani bali itokanayo na uzoefu.. Ukioa mwanamke yeyote, hesabu siku 23 za mwanzo wa ndoa yenu ndipo mwanamke hujipenyeza aendane na wewe! Na hapa ndipo mwanaume utafanya kosa kubwa au mwelekeo uupendao maisha yako yote. Acheni maisha ya tamthiliya mrejee katika uhalisia wetu.
^^

Nimekupenda kaka. Hahahaha... tutawarudisha afrika hawa viumbe.
 
^^
Bahati mbaya ni kuwa, ni theory ambayo si ya darasani bali itokanayo na uzoefu.. Ukioa mwanamke yeyote, hesabu siku 23 za mwanzo wa ndoa yenu ndipo mwanamke hujipenyeza aendane na wewe! Na hapa ndipo mwanaume utafanya kosa kubwa au mwelekeo uupendao maisha yako yote. Acheni maisha ya tamthiliya mrejee katika uhalisia wetu.
^^

heshima yako mkuu himidin
 
Last edited by a moderator:
Utawasikia
Nisindikize saloon nikaoshe nywele mmmmh.... hatuwezi fika kwa staili hii.
 
hii beigin imeleta shida zote hizi za kudai usawa, haya mambo hayakuwepo bana, sasa hata kazi zao wanataka tufanye kiza haki sawa, this is too much, usipofanya wanuniwa na huduma utaisikia kwa jirani. loh !!!
 
hii beigin imeleta shida zote hizi za kudai usawa, haya mambo hayakuwepo bana, sasa hata kazi zao wanataka tufanye kiza haki sawa, this is too much, usipofanya wanuniwa na huduma utaisikia kwa jirani. loh !!!

Lol..., hatari kweli. Kisa eti na wao waenda ofisini
 
Back
Top Bottom