nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
- Thread starter
- #41
^^
Mwanamke hana tabia... Tabia huipata kwa mume
^^
Hii ni theory zaidi. Mtu anajenga tabia kati ya umri upi? Wadada wengi wasomi huolewa kuanzia miaka 26. Anajifunza nini kwa mume?