kichunafk
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 992
- 479
Mwambie huyo! na asubiri kunyonyesha tu, na siku mkewe akimwambia leo avae kitenge atavaa.
mwenzangu, huyu mtoa mada akazane na asilegeze hapo. Huyo bibie keshaanza kuleta tabia za ajabu nadhan hata hao wa haki sawa wanaosimama kwenye majukwaa hawasemi hayo wala kufanya nyumbani kwao