Haki nchini kuelekea uchaguzi mkuu, haki za wapalestina Gaza: Kanisa katoliki ni la kupigiwa mfano dhidi ya madhehebu za kilokole, waisilamu nk!

Haki nchini kuelekea uchaguzi mkuu, haki za wapalestina Gaza: Kanisa katoliki ni la kupigiwa mfano dhidi ya madhehebu za kilokole, waisilamu nk!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,050
Msimamo wa kanisa katoliki kuhusiana na uchaguzi mkuu 2019/20, 2024 na huu unaotarajiwa 2025 uko wazi:



Msimamo wa kanisa katoliki kuhusiana na wapalestina Gaza huko, unajulikana:

Papa Francis: Awacharukia "war mongers" wa mashariki ya kati wasiotaka amani

Tofauti ya wazi kabisa baina yao na wale wenye kuzihalalisha dhuluma au uharamia kwa sababu zozote wazi wazi, kunyamaza au kuifumbia macho haki!

"Ama kwa hakika, haki husimama wala haiwezi kuinama!"
 
Ndugu matunduizi, Echolima1 na wale wengine, ipo tofauti ya ukristo na kushabikia lolote eti ni undugu katika imani.

Malaria 2, Ritz na wale wengine, iko tofauti ya kushabikia lolote eti ni katika undugu katika imani.

Ama kwa hakika "wote ni maji ga nyanja!" --JKN.
 
Ndugu matunduizi, Echolima1 na wale wengine, ipo tofauti ya ukristo na kushabikia lolote eti ni undugu katika imani.

Malaria 2, Ritz na wale wengine, iko tofauti ya kushabikia lolote eti ni katika undugu katika imani.

Ama kwa hakika "wote ni majibga nyanja!" --JKN.
Kilichofanyika Oct 07,2023 si Ukristo wala si Uislamu kwa hiyo usituletee hapa mambo ya dini dini hapa haihusiki acha wapigwe tu magaidi hao na ikiwezekana wouwawe wote waliofanya Ugaidi huo!!
 
Msimamo wa kanisa katoliki kuhusiana na uchaguzi mkuu 2019/20, 2024 na huu unaotarajiwa 2025 uko wazi:

View attachment 3480327

Msimamo wa kanisa katoliki kuhusiana na wapalestina Gaza unajulikana:

Papa Francis: Awacharukia "war mongers" wa mashariki ya kati wasiotaka amani

Tofauti ya wazi kabisa baina yao na wale wenye kuzihalalisha dhuluma au uharamia kwa sababu zozote wazi wazi, kunyamaza au kuifumbia macho haki!

"Ama kwa hakika, haki husimama wala haiwezi kuinama!"
Huyu Askofu Pisa amekuwa kibaraka wa Fr Kitima tu. Hata kanisa likiweka msimamo bado sisi waumini wa RC kila mmoja ana maamuzi yake.

Wamefanya novena na hakuna kitu imejibu, sasa wanaanza kutoa matamko ya ajabu ajabu tu
 
brazaj umewaacha wenzako wapi akina Erythrocyte na Retired

Humu si kila mtu yupo kivyake vyake?

IMG_20250928_095010.jpg


Pia soma: Hatimaye ana kwa ana na wapiga doria mitandaoni. Yapigwaje hiyo? Au ni hawa ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini?

Pia wengine waja leo waondoka leo. Kwani wewe ni mmoja wao?
 
Minafiki hii, eti Sasa hivi inajifanya kusema uchaguzi wa 2019/2020 kwa kuwa mwenzao hayupo na inataka kujifichia hapo Ili kutafuta uhalali kutoka kwa mapimbi wa 'mbona hata kipindi Cha mwendazake walikuwa wanasema?!!'. Tume 2024 ndo hiyohiyo ya 2015,2019 na 2020 mbona inajifanya kuiponda ya 2024 pekee?!!! Unafiki na uzandiki umewazidi mpaka inaumbuliwa na Mungu. Shida yao ni Samia tu na si kingine. Huo ndo ukweli. Na Samia huyo hawamtaki sababu pekee waliyonayo ni udini tu basi, hizi blah blah zingine ni katika kuonyesha kipaji tu Cha unafiki.
 
Minafiki hii, eti Sasa hivi inajifanya kusema uchaguzi wa 2019/2020 kwa kuwa mwenzao hayupo na inataka kujifichia hapo Ili kutafuta uhalali kutoka kwa mapimbi wa 'mbona hata kipindi Cha mwendazake walikuwa wanasema?!!'. Tume 2024 ndo hiyohiyo ya 2015,2019 na 2020 mbona inajifanya kuiponda ya 2024 pekee?!!! Unafiki na uzandiki umewazidi mpaka inaumbuliwa na Mungu. Shida yao ni Samia tu na si kingine. Huo ndo ukweli. Na Samia huyo hawamtaki sababu pekee waliyonayo ni udini tu basi, hizi blah blah zingine ni katika kuonyesha kipaji tu Cha unafiki.


Mpaka myeme bungo!

2019/2020 na 2024 hazikuwa haki. Jibuni hoja:

"Kwa nini 2025 uwe wa haki?"
 
Mpaka myeme bungo!

2019/2020 na 2024 hazikuwa haki. Jibuni hoja:

"Kwa nini 2025 uwe wa haki?"
Toeni hoja kwanza Ili tujibu hoja, kwanini mliichekea na kuikatia viuno ya 2019/2020 lakini mnajifanya kuikataa ya Sasa wakati ni ile ile?!!!!!!! Do you think we are not clever enough to figure out the reasons behind?!!!!! We are.
 
Huyu Askofu Pisa amekuwa kibaraka wa Fr Kitima tu. Hata kanisa likiweka msimamo bado sisi waumini wa RC kila mmoja ana maamuzi yake.

Wamefanya novena na hakuna kitu imejibu, sasa wanaanza kutoa matamko ya ajabu ajabu tu

Haipo shaka kuwa kauli ya askofu imewaingia vilivyo na mtataka kuja na danganya toto eti kuwa nanyi ni wakatoliki mmoja mmoja mna misimamo yenu. Au kumbe hata Novena hujibiwa baada ya muda gani vile?

Danganyeni waliolala!

Kama mna hoja si mjibu hoja zake?

"2019/20 na 2024 chaguzi hazikuwa za haki, vipi 2024 iwe ya haki?"

Pia Ikikupendeza ujibu na lile la mwenye kuleta fujo.

Kwako ndugu mjumbe.
 
Toeni hoja kwanza Ili tujibu hoja, kwanini mliichekea na kuikatia viuno ya 2019/2020 lakini mnajifanya kuikataa ya Sasa wakati ni ile ile?!!!!!!! Do you think we are not clever enough to figure out the reasons behind?!!!!! We are.

Kulikoni povu lote hili badala ya kujibu hoja?

Nenda kasome ripoti zote zikiwahusisha za Maaskofu kuhusiana na fyongo zote za awamu tano zikiwamo kuhusu chaguzi za 2019/20 ambako pia mama alikuwa mnufaika.

Hoja za Maaskofu zinasomeka vyema:

"Jibuni tu zote bila kuacha moja!"

Ama hakika katoliki ni dhehebu kimbilio kwa maana kila penye dhulma hawajawahi kupoa!

Echolima1 habari ndiyo hiyo.
 
Msimamo wa kanisa katoliki kuhusiana na uchaguzi mkuu 2019/20, 2024 na huu unaotarajiwa 2025 uko wazi:

View attachment 3480327

Msimamo wa kanisa katoliki kuhusiana na wapalestina Gaza unajulikana:

Papa Francis: Awacharukia "war mongers" wa mashariki ya kati wasiotaka amani

Tofauti ya wazi kabisa baina yao na wale wenye kuzihalalisha dhuluma au uharamia kwa sababu zozote wazi wazi, kunyamaza au kuifumbia macho haki!

"Ama kwa hakika, haki husimama wala haiwezi kuinama!"
Ukikutana na mtu anajiita MLOKOLE TAMBUA UMEKUTANA NA MPUMBAVU SIYO MTAKATIFU.
 
Toeni hoja kwanza Ili tujibu hoja, kwanini mliichekea na kuikatia viuno ya 2019/2020 lakini mnajifanya kuikataa ya Sasa wakati ni ile ile?!!!!!!! Do you think we are not clever enough to figure out the reasons behind?!!!!! We are.
Swali lako linaonyesha hujui AINA MBILI ZA MA DICTATOR
1) DICTATOR ASIYE MZALENDO NA MPUMBAVU
2)DICTATOR MZALENDO NA MWENYE AKILI
Hii ni tofauti kubwa sana baina ya JPM na huyo Mpumbavu SAMIA BUSHIRI.
 
Back
Top Bottom