Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 548
Kifo cha Yesu ndio kilikuwa lazima kitokee lakin huku kuandamana kwetu si lazima. Hivyo matarajio ya hicho mnachotaka kitokee mnaweza kubadil njia ya kip kifanyike bila kuleta mazara kwa wengineKuna vitu vimepangwa vitokee hata kama wewe hupendi. Yesu alipendwa na wengi kwa aliyokuwa akiyafanya na kuyasema, lakini kuna wachache hawakumpenda na hawakupenda alichokuwa akifanya na alichokua akikiongea. Hatimaye waliazimia kuandamana na kumkamata na walimpiga kama kibaka na aliuwawa.
Wapo ambao hawakupenda yaliyomtokea Yesu, lakini ilikuwa ni lazima yatokee yaliyotokea ili kutimiliza maandiko.
Tanzania hawamtaki huyo, na wanataka kuandamana wamtoe madarakani. Hata kama wewe hutaki kuna vitu hupangwa kutokea kwa lazima, ili kutimiza haja ya asili(nature). Hata akiuwawa ikiwa ndivyo ilibidi itokee, acha itokeee. Huwezi kuzuia kila kitu eti kwasababu wewe hupendi, wapo ambao hawakupenda Yesu auwawe, lakini kifo chake kilikuwa ni cha lazima, labda watu wanataka aondoke ili tuone ulazima huo, usizuie kila kitu kuna vitu havizuiliki.
Utashi wako au mapenzi yako hayana maana kwenye nguvu ya mungu, acha waandamane kitokee kilichopangwa kutokea.