man chunya
Member
- Mar 8, 2018
- 25
- 7
Nafikia kuna haja kujua kwanini katiba iriruhusu maandamanoNa kama inatafutwa sivyo kwa kutumia fujo na vurugu
Nafikia kuna haja kujua kwanini katiba iriruhusu maandamanoNa kama inatafutwa sivyo kwa kutumia fujo na vurugu
naaaaam yapingwe maaandamano kwa kutekeleza kinachosababisha maandamanoNa kama inatafutwa sivyo kwa kutumia fujo na vurugu
Mtu akiwa anaongea yaliyoko moyoni usimpangie jinsi ya kuongea acha aongee tu usimzibe mdomo aongee apunguze machungu yakeHakuna anaye kufunga mdomo ila tu uongee kistaarabu si kwa jazba
Waweza andamana ila je umepewa ruhusa ya kufanya hivyo?Nafikia kuna haja kujua kwann katiba iriruhusu maandamano
Mtu aliye na uchungu moyoni huonge kweli yake ndio, ila mtu aliye na busara hawezi ongea lugha ya kuudhi ama matusi. Maana anajua kujielezea bila kumkwaza mtu.Mtu akiwa anaongea yaliyoko moyoni usimpangie jinsi ya kuongea acha aongee tu usimzibe mdomo aongee apunguze machungu yake
Kwahiyo watu wakiongea lugha ya kukwaza dawa ni kuwateka na kuwapoteza?Mtu aliye na uchungu moyoni huonge kweli yake ndio, ila mtu aliye na busara hawezi ongea lugha ya kuudhi ama matusi. Maana anajua kujielezea bila kumkwaza mtu.
Tangu lini serikali za Afrika zikatoa kibari cha maandamano ambayo dhima ya hayo maandamano ni kuikosoa serikali?Waweza andamana ila je umepewa ruhusa ya kufanya hivyo?
Kwahiyo watu wakiongea lugha ya kukwaza dawa ni kuwateka na kuwapoteza?
Tatizo ni kuegemea upande wa sehemu mona nafikiri Kenya ni mfano mzuri kwako....Tangu lini serikali za Afrika zikatoa kibari cha maandamano ambayo dhima ya hayo maandamano ni kuikosoa serikali?
Mambo mengine hayahitaji hata certificate ya sekondari kuyajua.
Sema nakuelewa mkuu jitahidi unaweza teuliwa pia
Kenya wana katiba ya wananchi ambayo inaipa mahakama nguvu na mamlaka halisi sio usanii usanii.Tatizo ni kuegemea upande wa sehemu mona nafikiri Kenya ni mfano mzuri kwako....
Huruma gani ya wananchi wakati watu wanapotea?Una uhakika gani na hicho unachokisema? Kila kitu hutengenezewa mazingira jaribu kutafuta uzi wa wa Iran kapost Habib (the bold) utajua ninachomaanisha. Si kila ovu ni mamlaka imetoa bali wengine hutafuta huruma ya wananchi.
Jitahidi utapaa teuzi naona unashindwa hata kutetea ulichokiandikaHaya nenda kaandamane....
Basi mkuu amekoma ameingia chaka sio lakeJitahidi utapaa teuzi naona unashindwa hata kutetea ulichokiandika
Nikiteulkwa ntamuwknda na nikikushika utalia...Huruma gani ya wananchi wakati watu wanapotea?
So tundu lissu aliandaa watu wa kumpiga risasi?
Kama ndiyo mbona polisi hawajaweza kutueleza alivyotekereza mpango huo?
Kama siyo mbona mpaka leo hakuna ripoti ya polisi juu ya upelelezi waliofanya?
Jitahidi utateuliwa tu ila ongeza juhudi bado sana
Ndiko kurusha ngumi ukizidiwa hojaNikiteulkwa ntamuwknda na nikikushika utalia...
Si wote ni wakristo humu. Maandiko kama haya unapotaka kuwakilisha humu jamvini kuna mambo mawili;Warumi 13 : 1 - Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
Si wote ni wakristo humu. Maandiko kama haya unapotaka kuwakilisha humu jamvini kuna mambo mawili;
1- Kama ujumbe ni maalumu kwa watu wa dini fulani kuwa specific toka mwanzo.
2- Kama ni wa member wote humu fanya utafiti wa maandiko ya dini zote kabla hujaandika.