Haki Hupiganiwa na Kulindwa, Haiombwi

Kuna vitu vimepangwa vitokee hata kama wewe hupendi. Yesu alipendwa na wengi kwa aliyokuwa akiyafanya na kuyasema, lakini kuna wachache hawakumpenda na hawakupenda alichokuwa akifanya na alichokua akikiongea. Hatimaye waliazimia kuandamana na kumkamata na walimpiga kama kibaka na aliuwawa.
Wapo ambao hawakupenda yaliyomtokea Yesu, lakini ilikuwa ni lazima yatokee yaliyotokea ili kutimiliza maandiko.
Tanzania hawamtaki huyo, na wanataka kuandamana wamtoe madarakani. Hata kama wewe hutaki kuna vitu hupangwa kutokea kwa lazima, ili kutimiza haja ya asili(nature). Hata akiuwawa ikiwa ndivyo ilibidi itokee, acha itokeee. Huwezi kuzuia kila kitu eti kwasababu wewe hupendi, wapo ambao hawakupenda Yesu auwawe, lakini kifo chake kilikuwa ni cha lazima, labda watu wanataka aondoke ili tuone ulazima huo, usizuie kila kitu kuna vitu havizuiliki.
Utashi wako au mapenzi yako hayana maana kwenye nguvu ya mungu, acha waandamane kitokee kilichopangwa kutokea.
Kifo cha Yesu ndio kilikuwa lazima kitokee lakin huku kuandamana kwetu si lazima. Hivyo matarajio ya hicho mnachotaka kitokee mnaweza kubadil njia ya kip kifanyike bila kuleta mazara kwa wengine
 
Kifo cha Yesu ndio kilikuwa lazima kitokee lakin huku kuandamana kwetu si lazima. Hivyo matarajio ya hicho mnachotaka kitokee mnaweza kubadil njia ya kip kifanyike bila kuleta mazara kwa wengine
Huo ulazima nani anaamua?! Hata mauaji ya Yesu yalipingwa, baadaye ndio walifahamu ulazima wa kifo chake.
Kwasasa acha waandamane, mtafahamu umuhimu wa maandamano hayo baadaye!
 
Kupata haki si lelemama
Lazima uisumbukie
Lazima gharama itumike
Lazima ufanye kitu
 
Huo ulazima nani anaamua?! Hata mauaji ya Yesu yalipingwa, baadaye ndio walifahamu ulazima wa kifo chake.
Kwasasa acha waandamane, mtafahamu umuhimu wa maandamano hayo baadaye!
Hayo maandamano ikifika 2025 mtumie wingi huo huo kupiga kura sio ushabiki mitandao maana mitandaoni mko vizuri lakini kwenye sanduku la kura hamuendi kupiga.
 
Duniani ukijua kutetea hoja yako raha sana ila kama unakuja na hoja ambayo huwezi kuitetea wajanja huwa tunaiita ya kipuuzi.

Waliowahi kufanya utafiti wowote basi kuna siku unapowasilisha utapewa mda wa kutetea tafiti yako. Ila kama huwezi kutetea basi huwa tunaita na lugha za msaka tonge.

Niseme two wazi if u want peace u need to be prepared for the war.

Tanzania tunahitaji amani ya roho na mwili hivyo maandamano hayazuiliki
 
Duniani ukijua kutetea hoja yako raha sana ila kama unakuja na hoja ambayo huwezi kuitetea wajanja huwa tunaiita ya kipuuzi.

Waliowahi kufanya utafiti wowote basi kuna siku unapowasilisha utapewa mda wa kutetea tafiti yako. Ila kama huwezi kutetea basi huwa tunaita na lugha za msaka tonge.

Niseme two wazi if u want peace u need to be prepared for the war.

Tanzania tunahitaji amani ya roho na mwili hivyo maandamano hayazuiliki
Hauwez tafuta amani huku unajiandaa kwa vita.
 
Back
Top Bottom