NO REFORMS NO ELECTIONwakuu
======
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central.
Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
View attachment 3366701
Itakuwa ishu ya kumsema mwijaku kuhusu makalio, kwa hiyo nahisi mwijaku atakuwa ameenda polisi kumshtaki na polisi wamemuita ili ajibu kuhusiana na tuhuma hiyo.wakuu
======
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central.
Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
View attachment 3366701
Nadhani itakua ndio sababu ya kuitwa polisiNikikumbuka kamsema mwija his shape duuh 🤔
Tacle la mwijaku linaweza ku make headlines.???Itakuwa ishu ya kumsema mwijaku kuhusu makalio, kwa hiyo nahisi mwijaku atakuwa ameenda polisi kumshtaki na polisi wamemuita ili ajibu kuhusiana na tuhuma hiyo.
Watz hawahitaji kujua nani kashikiliwa na polisi. Wanahitaji kuwa na kiongozi mchapq kazi kama mama Samia.wakuu
======
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central.
Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
View attachment 3366701
Uko sahihi mkuu wangu, ule ulemavu wake anatumiaga kama Sympathising toolAmeshadhalilisha wengi hadi inakuwa vigumu kuelewa ishu ipi imemdakisha
lofa wa kwanza n ww ushatimbaNdio Mambo wanayopenda Malofa...watu watajazana kwenye huu uzi kama nzi kwenye kidonda....
Mzee wa miaka 60 naye anategemea babaWala hatokaa sana kwani tunajua Mstaafu wenu Mnafiki na Fisadi wa Bagamoyo Chalinze mwenye Urafiki mkubwa na Baba yake atapiga Simu na ataachiwa.
Kumbe upo sawa, tusubiri sasaNadhani itakua ndio sababu ya kuitwa polisi
wakuu
======
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central.
Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
View attachment 3366701