Sawasawa nakubaliana na wewe katika hili haipendezi kuanika wenza wetu hasa katika mitandao ya kijamii, nyaki nyaku ziko pale zinasubiri kunyakua, tena mtu ni maarufu 😂😂😂tumewaona wengi na waliangukia puaMastar wametuchosha na kuanika wapenzi wao wanajifanya sisi tuonekane hatujawahi pendwa.
Shina shida na manara ni mwananchi mwenzangu ila hiyo tabia ya kuanika wake hapana.
Leo kaandika caption ndefu kama mnara wa babeli, akimsifia mke mkubwa.wacha achapiwe.
Hamo na kajala kha! Walijuwa kutuumiza wako wapi?
Naweza kuonekana mnafiki na sipingi ila mtu mwingine ninaemsubiri kwa hamu asage meno ni zamaradi, mme anatundikwa barabarani? Unajinunulia gani urithi wa ruge unatudanganya umenunuliwa? Wadada wa daslam hawajawahi tuangusha siku ipo ilo bango ulilotundika jijini dar utalijutia.
Sema mme wa zamaradi hana hela angekuwa nazo wadada wa mjini wasingechelewa kutuvunja mbavu.
Huu msemo unamaana kubwa hata wasingetoa wazungu.Zile ni ngano tuu kama za lile joka kuu ulizopigiwa na babu yako, ila kwa sababu katoa mzungu basi mnaamini mpaka watoto wenu
It goes both ways, na wanaume wanaharibu zaidi (my opinion)Huu msemo unamaana kubwa hata wasingetoa wazungu.
Tafakari tu vizuri!
'Kula kwa jasho' haina ya kwamba ukiwa unakula jasho lazima litoke.
Mkuu, wanawake ndio wanasababisha familia zinatengana, watu kujiua na kuuana, kiufupi maisha kuwa magumu kwa sababu wengi wao ni malimbukeni.
Imagine unapenda mwanamke, unamuhudumia kila kitu, halafu anaenda kwa wahuni. Cha ajabu anabeba kile unachompa anaenda kuhonga. 😢
Hata kutambulisha mashosti bwana ako haitakiwi labda awe mume
Ok but are you really 76 years old?Huwa unatoa points sana kwenye comments zako nyingi ila leo sijakufeel kabisa.
Nina miaka 76 na nilichojifunza ni kwamba unaweza kumfanyia yote mwanamke - uliyoyataja hapa na mengineyo lakini bado ukachapiwa tu. Tena hawa wa kisasa hawa ndo kabisaa. Unafanya yote haya halafu mkeo anakuja kuliwa na boda, shamba boy au mangi wa hapo jirani. Ukiuliza eti mazoea au matani.....na kusifiwa sifiwa...anti leo umependeza sana...anti umenoga....
Ila uliyosema yanasaidia kupunguza dhahma tu ila nijuavyo mimi kuchapiwa kuko pale pale!
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaNiSiriyaNdani
Niibiwe kivingine sio kwa kiherehere cha kumuanika,Nini tofauti ya bwana na mume?
Utambulishe usitambulishe siku ya kuibiwa ikifika utaibiwa tu.
Mdodose akiisha kukwambia nitonye.Hata ajanambia kabisa
Naona unajaribu kuwaelewa Wanawake. Kozi bado sana hujamaliza"Mwanaume hajaumbiwa kuwa na mke mmoja, mwanaume unakuwaje na mke mmoja? Tuige mfano wa Haji na Dr. Mwaka"..walisikika mabraza wa Jf..haya kiko wapi??
Wake wengi ilikua kwa babu zetu buanaa..wanawake wa zamani walikua wanajitunza..no tamaa. Saiv ukiwa na mke zaid ya mmoja hakikisha una hela..sio huyu unampa hiki huyu humpi..haloo, na nguvu ziwepo sio ujifanye huwezi kula nyama moja sku zote afu ukienda kwa bi mdogo ama mkubwa una stress za tozo unapiga kimoja af chali..utachapiwa tu.
Kuwa energetic haswa yani mpaka ifuke moshi, afu ni kwa wote wawili sijui watatu na hela na macare na uwe handsome six pack ndo wanawake wote watakua faithful kwako..unless otherwise utakuwa unaoa na kuacha mpk uje kuingia kaburini..utajikuta umezeeka bila la maana..ulikeshea chinyu maisha yako yote...
#povunikafulienguomie#
Miaka 76 au sioHuwa unatoa points sana kwenye comments zako nyingi ila leo sijakufeel kabisa.
Nina miaka 76 na nilichojifunza ni kwamba unaweza kumfanyia yote mwanamke - uliyoyataja hapa na mengineyo lakini bado ukachapiwa tu. Tena hawa wa kisasa hawa ndo kabisaa. Unafanya yote haya halafu mkeo anakuja kuliwa na boda, shamba boy au mangi wa hapo jirani. Ukiuliza eti mazoea au matani.....na kusifiwa sifiwa...anti leo umependeza sana...anti umenoga....
Ila uliyosema yanasaidia kupunguza dhahma tu ila nijuavyo mimi kuchapiwa kuko pale pale!
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaNiSiriyaNdani
Angekuwa nazo kwani hata wewe ungemuacha hivi hivi tu atambe?Mastar wametuchosha na kuanika wapenzi wao wanajifanya sisi tuonekane hatujawahi pendwa.
Shina shida na manara ni mwananchi mwenzangu ila hiyo tabia ya kuanika wake hapana.
Leo kaandika caption ndefu kama mnara wa babeli, akimsifia mke mkubwa.wacha achapiwe.
Hamo na kajala kha! Walijuwa kutuumiza wako wapi?
Naweza kuonekana mnafiki na sipingi ila mtu mwingine ninaemsubiri kwa hamu asage meno ni zamaradi, mme anatundikwa barabarani? Unajinunulia gani urithi wa ruge unatudanganya umenunuliwa? Wadada wa daslam hawajawahi tuangusha siku ipo ilo bango ulilotundika jijini dar utalijutia.
Sema mme wa zamaradi hana hela angekuwa nazo wadada wa mjini wasingechelewa kutuvunja mbavu.
Hamo na kajala kha! Walijuwa kutuumiza wako wapi?
B & M katika hao ni yupi asiyeruhusiws kufanya nawe tendo la ndoa?Kweli hujui kutofautisha bwana na mume😳 haya bwana inaanzia na b, na ina herufi 5, mume inaanzia na m na ina herufi 4
Hata chai sijanywa usinichosheB & M katika hao ni yupi asiyeruhusiws kufanya nawe tendo la ndoa?
Kwa hiyo una njaa ya tumbo?Hata chai sijanywa usinichoshe
Sitaki kujibizana na weweKwa hiyo una njaa ya tumbo?
Poa tu kunywa Chai ushibe, Ila ukishashiba lifikirie jibu la swali langu.
Nimekuelewa, uwe na amani na ninakutakia siku njema yenye baraka tele.Sitaki kujibizana na wewe