Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,591
- 4,279
Hivi haiwezekani ATC iwe na ndege ambayo kwa mfano itacharge shs 100,000/- kwa safari za ndani ya nchi na iwe maalum kwa viwanja vyenye abiria wa kujaza ndege.
Mfano: Mwanza, Kigoma, Kilimanjaro, Arusha, Dodoma (hata mara 4 kwa siku).
Mbadala wake, waruhusu mabasi yatembee usiku; namaanisha yaanze safari kati ya saa kumi na mbili jioni (18h00) na saa mbili (20h00) jioni hivi; Ili yafike yanakokwenda Asubuhi. Ile ya kuanza safari sijui saa kumi na moja alfajiri (05h00) haisaidii sana, labda kwa kama 15% tu
Ukweli tunapoteza muda mwingi sana barabarani. Chukua mabasi 500 yanatembea mchana kutwa. Ina maana kuna karibia 25,000 hawafanyi kazi mchana kutwa.
Mfano: Mwanza, Kigoma, Kilimanjaro, Arusha, Dodoma (hata mara 4 kwa siku).
Mbadala wake, waruhusu mabasi yatembee usiku; namaanisha yaanze safari kati ya saa kumi na mbili jioni (18h00) na saa mbili (20h00) jioni hivi; Ili yafike yanakokwenda Asubuhi. Ile ya kuanza safari sijui saa kumi na moja alfajiri (05h00) haisaidii sana, labda kwa kama 15% tu
Ukweli tunapoteza muda mwingi sana barabarani. Chukua mabasi 500 yanatembea mchana kutwa. Ina maana kuna karibia 25,000 hawafanyi kazi mchana kutwa.