ATCL, Airline in Total Confusion!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,335
24,232
Je, umesafiri kwa ndege za ATCL hivi karibuni?

Basi utakumbana na madudu ambayo yalikuwepo miaka takriban 20 iliyopita.

Schedules za ndege ni kizungumkuti.

Unaweza kusubiri ndege airport utafikiri unasubiri basi la kwenda Igunga.

Ndege kuchelewa kuondoka kwa masaa 3 hadi 4 sasa ni jambo la kawaida.

Jumatano iliyopita mzungu mmoja na ana lafudhi ya Afrika Kudini alifoka sana kukalishwa airport kwa masaa 12, na bado hakupata kusafiri.

Tatizo inaelekea lipo katika Operation au Flight Scheduling, nilivyosafiri majuzi rubani aliomba radhi kwa hilo, hapo ni baada ya flight kuchelewa masaa manne!

Watu badala ya kuondoka saa moja jioni safari inaanza saa saba na nudu usiku, na kugika kwa mfano Mwanza alfajiri!

Fast Jet walikuwa na ndege mbili tu, sasa ATCL wafikirie kujiondoa kuendesha shirika, limewashinda.
Wawakodishie Fast Jet, wanaoijua biashara.
 
Sasa kama ndege inapangiwa ziara ya kumfata Rais Dodoma, kumpeleka Zanzibar ndio iwafate abiria wategemea nini?
 
Je, umesafiri kwa ndege za ATCL hivi karibuni?

Basi utakumbana na madudu ambayo yalikuwepo miaka takriban 20 iliyopita.

Schedules za ndege ni kizungumkuti.

Unaweza kusubiri ndege airport utafikiri unasubiri basi la kwenda Igunga.

Ndege kuchelewa kuondoka kwa masaa 3 hadi 4 sasa ni jambo la kawaida.

Jumatano iliyopita mxungu mmoja na ana lafudhi ya Afrika Kudini alifoka sana kukalishwa airport kwa masaa 12, na bado hakupata.

Tatizo inaelekea lipo katika Operation au Flight Scheduling, nilivyosafiri majuzi rubani aliomba radhi kwa hilo, hapo ni baada ya flight kuchelewa masaa manne!

Watu badala ya kuondoka saa moja jioni safari inaanza saa saba na nudu usiku, na kugika kwa mfano Mwanza alfajiri!

Fast Jet walikuwa na ndege mbili tu, sasa ATCL wafikirie kujiondoa kuendesha shirika, limewashinda.
Wawakodishie Fast Jet, wanaoijua biashara.
Walishindwa kuajiri professionals wana ajiri makada wa chama ili kilinda siri za chama na upogaji wadani kwa dani.
 
Mambo mengi ya serikali yanafelishwa kwa maksudi na baadhi ya watu wenye ushirikiano na sekta binafsi ili mradi ufe halafu sekta binafsi wapate mwanya na wanapewa percent kwenye kufanikisha hilo ipo mifano mingi watu wanaua mashirika ya serikali kwasababu wana mashirika yao binafsi wana ubia nayo na wapo very smart kwenye hilo.
 
Je, umesafiri kwa ndege za ATCL hivi karibuni?

Basi utakumbana na madudu ambayo yalikuwepo miaka takriban 20 iliyopita.

Schedules za ndege ni kizungumkuti.

Unaweza kusubiri ndege airport utafikiri unasubiri basi la kwenda Igunga.

Ndege kuchelewa kuondoka kwa masaa 3 hadi 4 sasa ni jambo la kawaida.

Jumatano iliyopita mxungu mmoja na ana lafudhi ya Afrika Kudini alifoka sana kukalishwa airport kwa masaa 12, na bado hakupata.

Tatizo inaelekea lipo katika Operation au Flight Scheduling, nilivyosafiri majuzi rubani aliomba radhi kwa hilo, hapo ni baada ya flight kuchelewa masaa manne!

Watu badala ya kuondoka saa moja jioni safari inaanza saa saba na nudu usiku, na kugika kwa mfano Mwanza alfajiri!

Fast Jet walikuwa na ndege mbili tu, sasa ATCL wafikirie kujiondoa kuendesha shirika, limewashinda.
Wawakodishie Fast Jet, wanaoijua biashara.
Hili shirika lisipobinafishwa litakufa muda si mrefu.
 
Mambo mengi ya serikali yanafelishwa kwa maksudi na baadhi ya watu wenye ushirikiano na sekta binafsi ili mradi ufe halafu sekta binafsi wapate mwanya na wanapewa percent kwenye kufanikisha hilo ipo mifano mingi watu wanaua mashirika ya serikali kwasababu wana mashirika yao binafsi wana ubia nayo na wapo very smart kwenye hilo.
Naipenda TTCL....
 
Raisi anaishi angani na hizo ndege, abiria wanasubiri hizo ndege.

Tulikuwa na Fokker 2, G55 moja, Piper Navajo 1, ziko wapi? Hizo si ndio ndege za raisi? Kwanini hatumii hizo?

Au ndo mambo ya kubeba kijiji kama unaenda ngomani?

ATC ni lazima ikabidhiwe kwa mtu baki ili ijiendeshe kwa ufanisi.

Mambo ya kusubiri PPRA, mara Tender, sijui nini, watachelewa sana!
 
Raisi anaishi angani na hizo ndege, abiria wanasubiri hizo ndege.

Tulikuwa na Fokker 2, G55 moja, Piper Navajo 1, ziko wapi? Hizo si ndio ndege za raisi? Kwanini hatumii hizo?

Au ndo mambo ya kubeba kijiji kama unaenda ngomani?

ATC ni lazima ikabidhiwe kwa mtu baki ili ijiendeshe kwa ufanisi.

Mambo ya kusubiri PPRA, mara Tender, sijui nini, watachelewa sana!
Ilishakabidhiwa kwa private, Ila bado ikafa tu.
 
Je, umesafiri kwa ndege za ATCL hivi karibuni?

Basi utakumbana na madudu ambayo yalikuwepo miaka takriban 20 iliyopita.

Schedules za ndege ni kizungumkuti.

Unaweza kusubiri ndege airport utafikiri unasubiri basi la kwenda Igunga.

Ndege kuchelewa kuondoka kwa masaa 3 hadi 4 sasa ni jambo la kawaida.

Jumatano iliyopita mxungu mmoja na ana lafudhi ya Afrika Kudini alifoka sana kukalishwa airport kwa masaa 12, na bado hakupata.

Tatizo inaelekea lipo katika Operation au Flight Scheduling, nilivyosafiri majuzi rubani aliomba radhi kwa hilo, hapo ni baada ya flight kuchelewa masaa manne!

Watu badala ya kuondoka saa moja jioni safari inaanza saa saba na nudu usiku, na kugika kwa mfano Mwanza alfajiri!

Fast Jet walikuwa na ndege mbili tu, sasa ATCL wafikirie kujiondoa kuendesha shirika, limewashinda.
Wawakodishie Fast Jet, wanaoijua biashara.

Atcl ni sawa na mstaaf kafungua Duka, auzi sana, ila anakula bidhaa zake aweze ku survive
 
Raisi anaishi angani na hizo ndege, abiria wanasubiri hizo ndege.

Tulikuwa na Fokker 2, G55 moja, Piper Navajo 1, ziko wapi? Hizo si ndio ndege za raisi? Kwanini hatumii hizo?

Au ndo mambo ya kubeba kijiji kama unaenda ngomani?

ATC ni lazima ikabidhiwe kwa mtu baki ili ijiendeshe kwa ufanisi.

Mambo ya kusubiri PPRA, mara Tender, sijui nini, watachelewa sana!
Una point, serikali isiingize shughuli zake kwenye biashara ya ATC.
 
Back
Top Bottom