nendeni kwa daktari mkapate dawa kubishana na mimi haisaidii mkuu
Mwanaume Love garden Bwana..Nywele za kifua zina raha yake. mwanaume asipokua na ndevu hapendezi nitamtofautishaje na mimi sasa???? kunako mahabbah kuna rahha ya kuchezea hiyo kitu bhanna..inaleta usingizi mtamuuuuuuuuu
We unaona disgusting kuna wanaume wanapenda wanawake wenye manyoa, imagine!!!Is disgusting aee....
Ni sawa na mwanamke ambae hapitishi lawnmower katikati ya mapaja, makwapa chini ya kitovu na miguu pia. ..... yaaak
We unaona disgusting kuna wanaume wanapenda wanawake wenye manyoa, imagine!!!
Ila kwangu ni absolute turn off aisee.
Ingekua attractive basi hata male models wangekua wanaziacha.
hatujasema anaezifuga,awe nazo tu naturally hata kama ananyoaWe unaona disgusting kuna wanaume wanapenda wanawake wenye manyoa, imagine!!!
Ila kwangu ni absolute turn off aisee.
Ingekua attractive basi hata male models wangekua wanaziacha.
Aaah, kumbe!! sasa nimeelewa ni kwanini nikiomba mchezo mara moja wanataka wahamie kabisa. Mmenisaida, nitakuwa mwangalifu zaidi.Yaani hao ndo vilaza balaa
Nadhani kuna siri kubwa sana katika hizi nywele
una kipara kila mahali wewe?Aaah, kumbe!! sasa nimeelewa ni kwanini nikiomba mchezo mara moja wanataka wahamie kabisa. Mmenisaida, nitakuwa mwangalifu zaidi.
Mwalimu kwa nini unamfanyia waxing hahahah..
kula vizuri mkuu mpaka viishe sokoni...wewe kama una asili ya nywele chache haikusaidii kitu...mgoni unataka uwe kama mwarabu sio?Lishe hujenga mwili imara wenye mifupa imara, meno imara, ngozi imara, nywele nyingi na nzuri Lishe bora hujenga akili ndio maana akahusisha nywele na akili mtoto akiwa stunt/mdumavu hawi na nywele nyingi na sio nywele tu kila kitu hadi ubongo unadumaa!
Nimekugongea like kwa kuwawanaume ambao hawana ni vilaza kweli kweli in every aspect in lifeSi mnaona hatamaprofesa wazungu,wahindi waarabu full minywele full miakili. Wanaume ambao hawana nywele akili ni pungufu
Msome Smile hapa chini: Awe nazo naturally, hata kama ananyoaYaaak..
Mi na manywele hatuelewani kabisaa.
Kama ulivyosema ni turn off completely ...
Nywele ni uchafu to be honest .. mtu hata
Akitembea tu ana toa jasho .. hilo jasho lote linanata kwenye manywele ndo ukutane na
Wale wanaooga mara moja kwa siku ..Duhhhh
au wale wanaona maji ni jehanam ...
Mmmhhhhh
Anyway nisiwakatishe tamaa wanaopenda manywele ..
Haya, kama anazo natually ahakikishe anayoa every now and thenhatujasema anaezifuga,awe nazo tu naturally hata kama ananyoa
The oposite!una kipara kila mahali wewe?
safi nice geniousThe oposite!