ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,737
Tanzania ni namba 2 Kwa Wingi wa Ng'ombe na mifugo mingine kiujumla tukiwa nyuma ya Ethiopia. Pamoja na ukweli huo bado Nchi inakabiliwa na upungufu wa Lita Bilioni 9 ambazo zinaagizaa kutoka Nchi jirani hasa Kenya na Uganda ikiwa uzalishaji wa ndani ni Lita zisizozidi Bilioni 4 Kwa mwaka.
View: https://youtu.be/mXbB8RcP7no?si=_mvsDv_B7dvxONuX
My Take
Pamoja na kwamba hii ni aibu ila ni fursa Kwa Vijana kuichangamkia.
Pia soma Aibu, licha ya Tanzania kuwa ya pili Afrika Kwa Ng'ombe Wengi Ila Tunaagiza Maziwa Kutoka Nje
View: https://youtu.be/mXbB8RcP7no?si=_mvsDv_B7dvxONuX
My Take
Pamoja na kwamba hii ni aibu ila ni fursa Kwa Vijana kuichangamkia.
Pia soma Aibu, licha ya Tanzania kuwa ya pili Afrika Kwa Ng'ombe Wengi Ila Tunaagiza Maziwa Kutoka Nje