Hafikishwi kileleni afanyeje?

Hafikishwi kileleni afanyeje?

pole dada jamani kama hauna chakusha uri kaakimya nunua tende nusu kilo nunua maziwa lita 2 ikibidi asali robo mwambie afanye mazozi ya kukimbia nakupa wiki kama bado ni cheki 0773 251153 nitamsaidia
 
mlishazoea chepuka enzi hizo mmelilia olewa sasa unaanza linganisha na wa zamani hovyooo
 
Hapo ndipo mnaponichosha mimi........wewe ile formula ya shake well before use uliiacha wapi......?.......umefanikiwa kunichosha sana.......

Duh! "Shake well....." Hapo ht mm umeniacha kigamboni we ushafika ubungo.
 
Tafuta kazi ya kando pigwa mti wa haja wewe NOTHING IS SWEETER THAN SEX sasa kama hupati hizo utamu wangoja nini hapa duniani...
haya ndo madhara ya kuolewa bila kucheki kama yaliyomo yamo!!!

Kah! But that's too much Evelyn
 
au hajakupiga kitu cha 0712au 0713 pole ila jaribu kumweleza kwamba huo mtandao unatumia pia sio tu voda pekee atakuelewa maana kama umetembea na wengi hio kitu lazima ilikwanguliwa tuuu....

Game over
 
Ndio matatizo yanayotokana na sex before marriage.
Husband and wife always comparing with past sexual encounters, ndiyo maana people dont stop commiting adultery and marriages are not as fulfilling and a blessing as they were intended to be.

Kwa dada yangu hapo juu vumilia tu, huyo ndiyo mume wako Mungu aliyekupatia, kama ana tatizo ni vyema kumwona mtaalamu akamsaidia na sio kuanza kutafuta mchepuko, ndoa iheshimiwe, ni jambo Mungu alilibariki,
Nenda sawa na mapenzi yake, ukienda kinyume huwezi jua huenda ndio mlango unaofungua katika maisha yako shetani aweze kuingia na kukusumbua katika namna moja au nyingine

Ni hayo tu

Uko sawa kwa asilimia nyingi, lkn kumridhisha mwenzio ni jambo muhimu sn. Hapo ndo inaingia nafasi ya kuelekezana.
 
Haya ndio matatizo ya uzinzi Mungu alipoamrisha watu wasizini alikuwa na maana yake mtu mpaka anaoa au kuolewa anakuwa ameshaziona nyuchi za watu mbali mbali mpaka siku akioa au kuolewa anaanza kufanya comparison kati ya kiungo cha mkewe/mmewe na vya wale alivyopitia....hapo ndipo ndoa inapokuwa ngumu endapo atakutana na ubora unaotofautiana na wa wale wa mwanzo.

Kimsingi ni kuwa watu wanatakiwa wasizini kabla ya ndoa ili siku akija kuoa au kuolewa ajue kiungo cha mkewe au mumewe pekee ndio kiwe cha kwanza kukifahamu kama ni bwawa mwanaume ataamini kuwa wanawake wote wapo hivyo kwa hiyo ataishi na mkewe kwa upendo...na mwanamke hata kama akimkuta mumewe ni kibamia kwenye mind yake atajua kuwa wanaume wote wapo hivyo kwani ndiye wa kwanza kumuona tangu kuzaliwa kwake.

Ni mfano wa kipofu aliyepata kuona mara moja na ghafla akakatiza ng'ombe na muda kidogo upofu ukamrudia akiamini kuwa hakuna kiumbe mkubwa kama ng'ombe kwani ndiye kiumbe aliyemuona kwa mara ya kwanza na ya mwisho.
MUNGU ANAPOTUKATAZA JAMBO SI KWAMBA HATAKI TUFAIDI BALI ANAFAHAMU KUWA LINA MADHARA MAKUBWA KWETU.

Yap:thumbup:
 
Dunia ya sasa shake well ina husika ni tofauti na zamani kwakweli .Lakini unaweza jikuta mwanamke unaidadi kubwa ya wanaume hii haipendezi

Wewe idadi imefika ngapi? Na kwa ushauri wako at least unawashauri maximum iwe ngapi?
 
Umeshawahi kuongea nae kuhusu hilo na je umejiangalia ww kujua kama upo sawa physically and emotionally?
 
Oooo dada mwambie afanye mazoezi hata ya kukimbia na anywe juice natural kama ya passion,mazoez huongeza mzunguko wa damu hvyo inasaidia misuli ya uume kufikiwa na damu pia na kufanya awe strong,pia we kutofika kilelen coz yeye anawah sa ili asiwah akiingiza akihic kupiz atoe pigen mastory dk 0 mnaendelea utafaidi tu,asante
 
Njoo PM ila usiwe na nguo nafikiri ndio utanipata vilivyo
 
hakushake well huyu

Tàtizo wengi wakiskia ndoà wana assume kuwa kila kitu ni mbele kwa mbele,matokeo yake ndo kama hayo,tumpe pole tu,Caz Kama alifunga ndoa ya ktikristo ni mpaka kifo kiwatenganishe
 
Naitwa Rose nina miaka 24 nimeolewa na kijana wa miaka thelathini, kabla yake nimekuwa na wanaume tofauti tofauti ambao walikuwa wananifikisha kileleni.

Ila mume wangu hanifikishi kileleni kabisa maana anaenda raundi moja tu kashachoka, analala kweli inaniuma ametumia dawa lakini wapi amekuwa hanifikishi kabisa natamani kuchepuka, ila naona nitakuwa nimemkosea sana jamani nifanyeje.

Ushauri tafadhali.

Umejuaje kuna kileleni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom