Hafikishwi kileleni afanyeje?

Hafikishwi kileleni afanyeje?

Mwambie mume wako afanye mazoezi kila siku asubuhi na jioni,ale vyakula vya asili sana sana asali,ugali wa dona,samaki wa maji chumvi kama pweza na ngisi,ale matunda ya kutosha kama matikiti na apate muda wa kutosha kupumzika

Pia afanye kumanage mapema maradhi kama pressure na kisukari

Msaidie kisaikolojia asijione yeye ndio hawezi kabisa

Both physiological and pyschological low libido problems are curable
 
We hukuona hilo tatzo kwan kabla? mpk ukaamua kuolewa nae ina maana ulikubali kuvumilia huo upungufu wake. hvyo usije kutenda dhamb ya kuchepuka.. Na pia nahis kwa umri wako ulikurupukia hyo ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom