Namaanisha kwamba.......kabla hujatumia kitu.......hakikisha kipo ktk ubora unaoutaka.........sio badae uje kulialia.......wakati muda wa kukifahamu vizuri ulikua nao.......
Sijui umenielewa........?
sio too much...wanaume washakua michosho bwana wee GOOD SEX ndo inahitajika...sasa mtu kaolewa afu hapewi ndo manini sasa???kwamba kwao hakuna msosi???kitanda???tena utakuta kaacha vya ukweli kuliko hivo vya mme wake.
Si vitabu vitakatifu vimetuasa kutoikaribia zinaa mpaka tufunge ndoa mkuu?
Hujui mapenzi... PeriodNaitwa Rose nina miaka 24 nimeolewa na kijana wa miaka thelathini, kabla yake nimekuwa na wanaume tofauti tofauti ambao walikuwa wananifikisha kileleni.
Ila mume wangu hanifikishi kileleni kabisa maana anaenda raundi moja tu kashachoka, analala kweli inaniuma ametumia dawa lakini wapi amekuwa hanifikishi kabisa natamani kuchepuka, ila naona nitakuwa nimemkosea sana jamani nifanyeje.
Ushauri tafadhali.
Oooo dada mwambie afanye mazoezi hata ya kukimbia na anywe juice natural kama ya passion,mazoez huongeza mzunguko wa damu hvyo inasaidia misuli ya uume kufikiwa na damu pia na kufanya awe strong,pia we kutofika kilelen coz yeye anawah sa ili asiwah akiingiza akihic kupiz atoe pigen mastory dk 0 mnaendelea utafaidi tu,asante
Hujui mapenzi... Period
Humpendi. Huna hisia naye. Hicho kimoja tena ndo cha kukufikisha juu siyo lazima urudie rudie.
amtafute mandingo.
dah! hahahaha, mwenzio anataka kurudia rudia wewe unasema kimoja kinatosha.
inaelekea hawa wanaingia uwanjani na kuanzisha rigwaride moja kwa moja. wenzao huanza kwa kukagua kama mstari umenyoka, mikanda imefungwa vizuri, buti ziko sawa, mashari yamechomekewa, kofia ipo sawa. baada ya kuhakikisha kila kitu kipo sawa ndio rigwaride linaanza. hapo hata bila kurudia mtu anatosheka...
Naitwa Rose nina miaka 24 nimeolewa na kijana wa miaka thelathini, kabla yake nimekuwa na wanaume tofauti tofauti ambao walikuwa wananifikisha kileleni.
Ila mume wangu hanifikishi kileleni kabisa maana anaenda raundi moja tu kashachoka, analala kweli inaniuma ametumia dawa lakini wapi amekuwa hanifikishi kabisa natamani kuchepuka, ila naona nitakuwa nimemkosea sana jamani nifanyeje.
Ushauri tafadhali.